1 Ufunuo ya neno la Bwana kwa inchi ya Adraki akasimama Damasiki kwa sababu lichoya ya inaona watu wote kama vile mumakabila yote ya Israeli. 2 Na ye akasimama tena na Hamathi kumipaka ya Damasiki na tiro na Sidoni hata kama biko na Hekima mingi. 3 Tiro inajije ngea ngombe(andaki) anakolongola makuta kama mchanga na zahabu kama matope ya munjia. 4 Tazama Bwana akainyanga nya na akashusha nguvu yake ndani ya bahari na ye ikalungula na moto. 5 Ashkeloni akaona na ye akaogopa Gaza na yo, na mutingiziko itamukamata na Ekroni na yemaana matumaini yake ikapata aya mufalme wa Gaza atapotea na Ashkeloni aitakuwa tena na watu. 6 Mungeni ataikala kule Ashdodi na nitapiga kiburi ya wafilistina. 7 Nitatosha damu mukinywa yake na ntatocha machukizo ndani ya meno yake na ye atabikia kwa mungu wetu na ye atakuwa mkubwa katika Yuda na Ekroni kama myebusi 8 Noitipanua karibu na nyumba yangu kwaajili ya kuikinga na kupinga majeshi, na akuna mutu wa kupita na kuridia na ulemutesi ata pita tena karibu yao ,kwa kwa sababu nime kazia macho yangu kwake. 9 Furai binti ya sayuni piga vigelegele ya fura, binti wa Yerusalemu ! Tazama mufalme wako anakuja kwako nimwenye haki iko na okovuni mupole , anapanda punda mutoto wa punda . 10 Nita haribisha magari ya vita ya Efraimu na ma punda ya Yerusalemu ya viombo via vita itanyamaza ata tangaza amani kwa mataifa na atatawala toka bahari na bahari tangu mutoni na mipaka ya dunia. 11 Na kwako weye , ju ya damu ya agano yako tatosha wafungwa wako mushimo isio kuwa na maji. 12 Murudie ku ngome (andaki) wa fungwa wa mutumaini tena leo nasema takurudisha mara mbili. 13 Maana nakama Yuda kama upinde najaza upinde wangu Efraimu na nitai nuwa wa toto wako Ee wa yunani na wafanya sawa mupanga ya mutu odari. 14 Bwana juu yao ataonekana na mushale wake utatoka kama umeme bwana , wa milele atapiga baragumu atasonga kwa pepo ya kusini . 15 Bwana wa majeshi ata wakinga ata wa tafuna na kukanyaka majiwe ya teo. Batakunywa na watachangamuka ,nao watajazawa kama Kikombe na kama kona ya mazabau. 16 Bwana, munga wao ata waokowa ile siku kama kikundi ya watu wake maana watakuwa kama majiwe ya taji ina meremeta juu ya inchi yake . 17 Ee ni uzuri gani ? Na ngano itakomalisha vijananwanaume na pombe kwa vijana wana muke