Sura 8

1 Neno la Mungu wa majeshi ikaji funuwa ivi. 2 Asema Mungu wa majeshi, minasikia huruna na wivu sababu ya sayuni, ninakamatwa na kasirari kubua kwa yey. 3 Asema wamilele: narudia mu sayuni, na minataka kuikala katikati ya Yeruselema. 4 Asema Mungu wa majeshi: wazee na wanawake wenye miaka ya kulosha wataikala mu ma barabara ya Yerusalema, kila mutu na fimbo ku mukono, sababu ya wingi ya masiku yabo. 5 Ma barabara ya muji ita yala na vijana wanaume, na vijana wanamuke, wakacheza mu ma barabara. 6 Asema Munguwa majeshi: kama mambo inaonekana kushangaza ku macho ya watu watabaki mu ile siku, itanishangaza ku macho? Asema bwana wa majeshi. 7 Asema Mungu wa majeshi; tazama, mina ponesha watu wangu wa mu inci ya kaskazini na wa mu inchi ya magaribi. 8 Nitawapeka, na wataikala katikati ya Yerusalema; wa takuwa watu wangu, na mi takuwa Mungu wao pamoja na kweli na kunyoloka. 9 Asema Mungu wa majeshi, muyipatie nguvu mu mikono, ninyi munasikia leo maneno yangu inatoka mu kinwa ya manabii ile ilionekana wakati ule ulijengwa nyumba ya Mungu wa majeshi, kule hekalu ipashwa kujengewa. 10 Juu mbele ya wakati, kazi ya mutu ayi kuaze kupokea malipo, na mishahara ya wa nyama ilikuwa bule, akukuwa amini kua wenye ku ingiya na kutoka, sababu ya adui, na siliwaacha watu ote mumoja juu ya mwingine. 11 Sasa misina kua wale watu walibakia sawa vile nilikuyaka mu wakati iliputa, asema Bwana wa majeshi. 12 Maana mbego zitaendeleya, muzabibu utazala matunda yake inchi itatowa matunda yake, na mbingu itatuna umande; nita furihisha na bitu ibi byote watu waliobaki. 13 Pamoja na vile mulikuya katika laana katikati ya mataifa, nyumba ya yuda na nyumba ya Izraeli, pamoja nitawaponesha, na mutakuya mu baraka. Musiogope, na mikono yenu iwe na nguvu! 14 Maana asema Mungu wa majeshi: sawa vile nilikuya na mawazo ya kuwafanya mabaya, wakati wa baba yenu walinisirikishaka, asema Mungu wa majeshi, na ni misi kutubu kamwe. 15 Sasa minarudi kumukongo na mina waza mu iyi masiku nifanye mema kua Yerusalema na kua nyumba ya Yuda. Misiogope! 16 Tazama ile munaweza kufanya, mwambiyane kweli kila mutu kua jirani yake; muhukumu kila mulango katika kweli na kutafuta amani. 17 Akuna ule mu roho yake atawaza mabaya juu ya jirani yake, na misipende kulapa kua bule, juu njo bintu bile mina chukiya, asema wa milele. 18 Neno la Bwana wa majeshi ilinifikia, kua maneno iyi: 19 Asema Bwana wa majeshi: mafungo ya mwezi wa ine, mafingo ya mwezi wa tano, mafungo ya mwezi wa saba na mafungo ya mwezi wa kumi itageuka kua nyumba ya Yuda mu siku ya shangwe na furaha, mu karamu ya kuji furahisha. Lakini mupende kweli na amani. 20 Asema Bwana wa majeshi: kutakuya tena watu na wakaayi wengi wa mudji. 21 Wakaaji wa mudji wataenda ngambo, na kusema: Twende tumuite Bwana wa majeshi! Tutaenda na sisi. 22 Na watu wa mingi na mataifa wa mingi watakuya kutafuta Bwana wa majeshi mu Yerusalema na kumulilia wa milele. 23 Asema Bwana wa majeshi: Mu ile siku, watu kumi wa ma hugho yote ya mataifa watakamata mu yuda kua upindo wa nguo yake na kusema: Tutaende na mwenye, juu tulisikia kama Mungu eko pamoja na mwenye.