SURA 7

1 Katika mwaka ya ine ya Dario, neno la Bwana likamfika Zakaria, siku ya ine mu mwezi ya kenda, ilio mwezi wa kisleu. 2 Walituma Beteli shereza na Gregem, Meleki pamoja na watu wabo, ili waombe rehema ya Mungu. 3 Na useme na makohani wa nyumba wa bwana wa majeshi na kwa manabii: je yanipasha nilie mu mwezi wa tano na mijitenge na watu, vile niliofanya miaka mingi? 4 Neno la Bwana likanijia, kusema, 5 Ambia mataifa ya inchi na kwa makohani, wakati munafunga chakula na kuomboleza mu mwezi ya tano na ya saba, na tangu miaka makumi saba, ni kwaajili yango njo mulifunga chakula? 6 Na wakati munakula na kunywa, je!aiko mweye munakula na kunywa? 7 Amukujuwa maneno ya Bwana uliotangaziwa na manabii wa kwanza, wakati Yerusalema ilipokaliwa na kimia pamoja na mijiya kandokando, na kusini pamoja na bonde watu wata ikala? 8 Neno la Bwana likamjia Zacharia, kusema. 9 Asema Bwana wa majeshi, uamuwe katika kweli na haki, na mukuwe na wemana rehema wa moja kwa wengine. 10 Musibatese bajane na mayatima, mugeni na maskini, na musifikiri bubaya kwa moja na kwa mwengine ndani ya maroho yenu. 11 Lakini balikatala kusikiya, waka Geuza mabega, na wana funga masikiyo juu wasisikiye. 12 Wanatia mioyo migumu kama alimasi, wasije kusikia sheria na maneno ya Bwana wa majeshi ilio peleka roho yake, kwa njia ya manabi wa kwanza, kwa ayo, asema Bwana wa majeshi ana panda na asira kubwa sana. 13 Wakati wali ita, awakusikia, na mie sitasikiliza, wakati wa taita asema bwana wa majeshi. 14 Nili wasambaza mu mataifa yote enye awajuwe. Mu inchi ilio Arabika nyuma yenu, na akuna tena wa kwenda (kupita) na wa kurudia, maana balifanya inchi muzuri kuwa jangwa.