1 Nikainua tena macho nikanga lia tazama magrari ya vita ine yanatokea kati ya milima mbili , na milima ilikuwa milima ya shaba. 2 Na gari ya kwanza ilikuwa na punda nyekundu , na gari ya pili ilikuwa punda mweusi. 3 Na gari ya tatu ilikuwa punda mweupe na gari ya ine ilukuwa punda ya rangi ya majifu. 4 Nirajibu nikamwuliza malaika aliesena na Mie iyi ni nini bwana ? 5 Malaika akanijibu, hawa pepo ine ya mbinguni inatoka mu fasi ya kusmama mbele ya bwana wa dunia yote. 6 Magari mweusi inakokota mumozja ya punda na kwenda inchi ya kaskazini na wa punda weupu wana fata nyuma yao na wale ya rangi ku inchi ya kusini 7 Wale nyekundu watoka , na kuomba wa ende kuzunguluka na katika dunia, malaika akawambia, mwende, muka, zungulike dunia , na wakaenda kozunguluka dunia. 8 Aka niita, a niambia , tazama bale banaenda mu mipaka ya inchi ya kaskazini bame tuliza roho yangu katika inchi ya kaskazini 9 Neno la Bwana ikanijia kusema . 10 Utapokea vitu kumikono ya mateka , yaani, Heldai, na tobia, na Yedaya, na utaenda we peke ile siku,utaingia mu nyumba ya Yosia mutoto ya Sefania , balifika kutoka babeli. 11 Upokeya makuta na zahabu utengeneze taji utweka yulu ya kichwa ya Yosua, mutoto ya Yehosadaki, kohani mkubwa. 12 Utamwambia, asema bwana wa majeshi, tazama mutuuyu jina yake nichipuko atachipukana fassi yake, na atajenga ekalu ya bwana. 13 Atejenga ekalu ya bwana wa majeshi, atavala alamaya ufalme , ataikala naku tawala katika kiti yake ya enzi, na mapatano ya kweli itaku kati yabo bawili. 14 Hiyi mataji itakuwa ya Heldai na tobia , na Yedaya, na Hena, mototo ya Sefania , ikuwe ukumbusho ndani ya ekalu ya bwana. 15 Bale biko mbali batakoya kutumika ndani ya ekalu ya bwana, na mutajuwa kama bwana wa majeshi ananituma kwenu, na ita fikiya kama mukisikian sauti ya bwana Mungu wako