SURA 5

1 Nikainu wa macho yangu tena nikaona kitabu kinaluka. 2 Akaniambia: Unaona nini? Nikajibu, naona kitabu kinaluka, ina urefu yake mikonomakumi mbili, na upana ya mikono kumi 3 Na akanimbia, iyini laana inasambaziwa mu inchi yote, maana kufatana laana iyi mwizi atafukiziwa apa kama ilivio, na kila ata kaye lapa watamufukuza apa. 4 Ninasambaza asema bwana wamajeshi, nayo itaingiya ndani ya nyumba yake yeye mwenye kulapa kwa bongo mujina yangu, na ajange makao yake, na alunguze na kuni piana majiwe 5 Malaika aliyesema na mie aka nikabia na kaniambia , inua macho , uanglie nikitu gani kinatoka kule. 6 Nikajibu, nikitugani? akaniambia niefa inatoka akaongeza: ni maovu ndano ya inchi yote. 7 Na tazama, talanta ya lisasi ili, nuliwa, kulikua mwanamuke mwenye kuikala katikali ya efa 8 Akasema, iyi nimaovu, na akamsukuma ndaniya efa, akatupa yulu ya kifiniko ile jiwe ya lisasi. 9 Nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, wana wake wa wili kunitokea, na peto ilitoka ndani ya mabao yao; ilikuwa kama efa kati ya dunia na mbingu 10 Akamwambia ule malaika aliyesema na mie ; wana napeleka wapi efa? . 11 Akanijibu, bana enda kujenga nyumba katika inchi ya shinari, ikisha kuwa tayari, muiweke na fasi yake yenyewe