Sura 4

1 Ule malaika alisema mie akarudia mara ya pili, akanilamusha sawa kile mutu bana lamushaka katika busingizi yake. 2 Akaniuliza, anaona nini? nika jibu, naona munara ya tala ya zahabu safi, nayo iko nasahani yulu yake, na tala yake saba ya kuleta mafuta, ku matala iko yulu yake. 3 Na ilikuwa karibu naye mizabibi mbili, moja ngambo ya kuume ya ile sahani, na ingine ngambo ya kushoto. 4 Na nikajibu, nika mwambia malaika aliyesema na mie, iyi vitu vina maana gani, Ee bwana wangu? 5 Malaika aliyesema na mie akajibu: ahujuwe mahana ya iyi? ni kasema, apana Bwana. 6 Akajibu na akaniambia, iyo ndio neno la Bwana kwa Zorobabeli, akisema, sikwa uwezo, wale sikwa nguvu, lakini kwa roho yangu, awasema Bwana wa majeshi. 7 Ni nani we mulima mkubwa, mbele ya Zorobabeli? Utashushwa, nayo ataleta ile lijiwe ya kuweka yulu kabisa pamoja na bigelegele nehema, nehema kwake. 8 Neno la Bwana likanifikia kusema. 9 Mikono yake Zorobabeli ili weka misingi ya nyumba hii, na mikono yake, ndo itikayo maliza, ata juwa kama wana wa majeshi ana nituma kwenu. 10 Maana wenye kuzarau siku ya mambo madogo watafuta hi kwa kuona kipi ya nkono ya Zorobabeli, na iyi saba ndio macho ya bwana, inaangaliya (kutazana) dunia yote. 11 Nikajibu, nika mwambia, maanagani ya miti mbili ya mizeutuni? iko ngambo ya kuume ya munara ya tala ile na ngambo ya kushoto? 12 Na mie nikajibu mara ya pili, nikasema: ni nini maana ya matawi mbili ya mizeituni, ambayo mu ndjia ya ile mifereji mbili ya zahabu kutosha mafuta tao. 13 Akanijibu, ahujuwe maana yake? Nakesema apana Bwana. 14 Kisha akasema, niwapaka liwa mafuta wa wili wakisima mbele ya bwana wa dunia yote.