SURA 3

1 Akanionesha Yoshua, kuhani mkubwa, anasimama mbele ya malika ya bwana, na shetani anasimama kumkono wa kuume ju amustaki. 2 Bwana akamwambia shetani, bwna akukemee weye shetani, na bwana alichaguwa Yerusalema! ye hikisi kinga kiliotalewa motoni? 3 Basi, Yoshua alikuwa navala ma nguo ya buchafu sana na aliema wima mbele ya malaika. 4 Malaika akasema akasema, akaambia bale balisimama mbele yake, umuvule ile ngua ya buchafu, kisha, akamwambia Yosha, angalia, nakuondolea makosa yako, na mie ntakuvika ma nguo ya bei sana. 5 Kikasema, muvike kitabala kizuri mukichwa yake, na wakamvika kitambala kizuri mu kichwa, wakamvika ma nguo, na malaika wa bwana elikuwa pale. 6 Na malaika wa bwana akamshu hudia Yoshua, akisema. 7 Asema Bwana wa majeshi uki tembea mu manjia yangu na kama ukishika oda zangu, utahumu nyumba yangu, na utalinda na kandokando, na nitakufa fasi unikarabie kati yao wenye wiko apa. 8 Sikiliza sasa, Ee Yoshua, kuhani mkubwa, weye na wenzako wanaikala mbele yako, maana,ni watu wikona alama angalia, na muleta mutunishi wangu chipuko. 9 Sasa angalia fiwe iko mbele ya Yoshua, mujiwe moja muko macho saba, tazana, nitaingiza ndani ya lifiwe enyewe inastahili, asema Bwana wa majeshi, na ni nitatosha zambi ya inchi ile mu siku moja. 10 Mu ile siku, anasema Bwana wa majeshi, mutaitana wa moja na waingine chini ya muzaibu, na chini ya muti.