1 Nikainuma machu yangun naona na kuangilia, mutu iko na likamba ya kipimo mu mikono yake. 2 Nikasema unaenda wapi?akaniambia, naenda kupima Yerusalema nione upana yake na urefu yake ilio. 3 Ni kangalia, ule malaika alisema na mie nakasimama karibu, na malaika mwengine alikuya kuonana naye. 4 Nayeye akasema kimbia mbio umawambie ule kijana, na useme Yerusalema itakuwa mugini itafunguliwa, kwa ayili ya batu mingi na manyama itakuwa iliyo ndani yake. 5 Nita kuwa kwako, asema bwana, nitakuwa kibambazi ya moto kuzunguluka ngambo yote, na mie nitakuwa utukufu ndani yake. 6 Kimbiya; kimbiya mu inchi ya kaskazini, anasema nwana, kwa maana mie nawasambaza nye kama pepo ine ya mbingu, asema bwana. 7 Ee sayuni, ujiokowe, weye ikala na binti ya Babeli. 8 Kwa maana bwana wa majeshi anasema, nitafute utukufu ana nituma ku mataifa ilimiiba, kwa maana yeya atamigusa mweye anagusa ndoni ya licho yake. 9 Kwa maana, nainuwa mkono wangu juu yabo, nabo batakuwa mateka ya bale baliwa tumikia, mutajuwa kama bwana wa majeshi alinituma. 10 Lalamika, na ufurahi, Ee binti ya sayuni: angalia, nakuja, ni ikole keti yako, asema bwana. 11 Na mataifa mingi batafiunga na bwana mu siku ile, na bakakuwa batu yangu na mie na ikala kati yako, na utajuwa ya kama bwana wa majeshi alinituma kwako. 12 Na bwana akakamata Yuda kama yake katika inchi tukatifu, naye atachakuwa Yerusalema tena. 13 Na mwili yote ikole kimya mbele ya bwana, kwa maana analamuka, mu makao takatifu.