SURA 10

1 Mumuombe Bwana wa milele mvula, mvula ya kwanza! Bwana atafanya umeme, na atawatumiya mvula ya mingi, ata wapa kila mu moja majani mu shamba yake. 2 Kua maana ma téraphi weko na maneno ya bure, wachawi wanatabiri uongo, na ndoto inadanganya na kufariji kua ubatili. Ndjo kua maana weko wanaangaika sawa kundi ya manyama, nyumba ya Yuda, weko wenye ole sababu, akuna mchungaji. 3 Kasirani yangu iliwaka juu ya wachungaji, na nitawapija wa mbuzi; kua maana Bwanawa majeshi atawatembeleya ma kundi ya mjama, nyumba ya Yuda, na ataifabya kuwa sawa punda ya utukufu ndani ya ugonvi. 4 Kua yeye kutatika cona, kua yeye misumali, kua yeye upinde wa vita; kua yeye kutatoka wakubwa ote pamoja. 5 Wanakuwa kama wa shudja wanakanyanga ndani ya ugonri potopoto ya ma njia; watapigana, sababu Bwana utakuya pamoja nao; na wale watapandu juu ya walunda wata funikwa na haya. 6 Nitamupa nguvu nyumba ya Yuda, na nitaokowa nyumba ya Yusufu; nitawaleta, kua maana, ninawasikilia huruma, na watakuwa kama sikuwatupa; kua maana mimi ni Bwana, Mungu, na nitawasikia. 7 Ephraimu atakuwa kama shudja; roho tao ita kuwa na furaha ile vinyu ina leta; watoto wao watawaona na wata furahi, roho yao ita furahi ndani ya Bwana. 8 Nitawapigia filimbi na nitawakusanya, kua maana nina wanunuwa, na wataongezeka ginsi waliongezekaka. 9 Nitawazam balisha katikati ya watu, na mbali watanikumbuka miye; wataishi pamoya na watoto wao, na watarudia. 10 Nitawatosha mu inchi ya Misri, na nitawakusanya toka Assiria; nitawapeleka ku inchi ya Galadi na Libani, na fazi itakuya kidogo kwao. 11 Watapita bahari ya uzuni, atapiga zaruba ya bahari, na ma kilindini ya mutoni itakauka. Kiburi ya Assuria itapigwa, na mukongoto ya Misri itapoteya. 12 Nitawana nguvu kupitia Bwana, na watatembeya kua jina yangu.