1 Libanona, fungula milango yako na moto ilunhuze mierezi yako. 2 Uzunika kwani, musonabari, maana mwerezi inaanguka, wale walikuwa na jiinuwa wanaharibika! nzunike minyololo ya Bashani maana pori yenye kukatazwa naanguka. 3 Wachungaji wana lalamika , maana utukufu yao imeharibika, na watoto wa simba wana nguruma, maana kiburi ya yorodani imeharibika. 4 Asema Bwana, Mungu wangu: lisha ma kondolo inaenda ku machinjo. 5 Behye kununua bana chinja bila tatizo, mwenye kuuza akasema, mimi ni tajiri, na wachungaji wao awakuwa chunga. 6 Maana sina tena huruma kwa wakahaji ya inchi, asema Bwana, natazama, natoa watu watu ku mikono ya watu ku mikono ya wamoja na wengine na ku mikono ya wafalme wao; watashambula na sita waokomboa kumikono yao, 7 Kisha nalisha makondolo ya machinjo, kweli, makundi wanyuonge, na beba fimbo mbili, nika ita moja nehemia na mwengine mungano, na nikalisha ma kondolo. 8 Nitauwa wachungaji wa tatu mu Mwezi moja; nafsi yangu inachoka kwa ajili yao, na nafsi yao pia inanichukia. 9 Kisha ni kasema: sita walisha tena! na ule anakufa akufe, ule ataharibibka haaribike, na wale watabakia wakulane wamoja kwa wengine. 10 Nilikamata fimbo nehema, na nikaivunja: kwa kukata agano yangu nilifanya na mataifa yote. 11 Ikavunjika siku ile, na makondolo wa nyonge, Benye biko ngambo yangu, bana juwa kama neno iyi nia Bwana. 12 Nikawa ambia: mukita muhilipe mushaara wangu kwa vipande ya makuta makumi tatu. 13 Bwana akaniambia; mutupie mufinyanzi, bei muzuri eayewe wananikadiria, na nika beba bipande makumi tatu ya makuta, na nikaitupa ndani ya nyumba nyumba ya Bwana, kwa mafinyanzi . 14 Kisha nikavunja fimboya pili muungano, kwa kuvunja undugu katiya Yadani Israeli 15 Bwana, ananiambia, Ubebe tena kundi ya muchungaji mupumbafu. 16 Tazama, nita inua ndani ya inchi muchngaji mwenye atakuwa ata hurumia wakondolo waku potea, ata weza tafuta wa vijana , ata tunza wenye Bilonda, atatunza walio safi atakula nyama ya mafuta, na kupasula ya mafuta, na kupasula mpaka ku ma pembe na kumikulu yao. 17 Ole kwa machungaji mwenye ana maana, anaacha kondolo yake! mukono wake itakike na kulicho ya kuume! na mukono ikauke, na licho ya kuume izimike