Sura 12

1 Ufunuo,ya neno la Bwana kwa Izraeli, asema bwana, nani alita ndika mbingu na musingi ya dunia, aliumba roho ya mutu ndani yake. 2 Tazama, tafanya Yerusalemu kikombe ya kuwayawaya ku ma kabila yote ya kando kando, vile vile Yuda mu fasi ya Yerusalemu. 3 Ile siku, nita fanya Yerusalemu kuwa majiwe ya kilo kwa watu yote, wote wataisima ya wata kufa, na mataifa ya Dunia wata jiunga kwa kuwapinganisha. 4 Na siku ile, asema bwana, tapiga kila punda yenye iko na wayawaya, naule atamupandia tamutia bazimu; Lakini nitafungua macho yangu yangu mu nyumba ya Yuda. Wakati tatobola macho mapunda ya makabila yote. 5 Wa kubwa ya Yuda wata jisimea; wakahaji wa Yerusalemu ni nguvu yetu kwa bwana wa majeshi, Mungu wao. 6 Na ile siku, nita fanya wa kubwa ya Yuda kama kigae kyenye moto ya kuni, kama tala inawaka kati ya mimeya. wata kula kuume na kushoto makabila yote ya kando kando, an Yerusalemu itabakia fasi yake. 7 Bwana ataokoa kwanza ma hema ya Yuda, ili utukufu ya nyumba ya Daudi, na utukufu ya wa kahaji Yerusalemu isipate kuinuliwa yulu ya Yuda. 8 Na ile siku, Bwana atalinda wa kahaji wa Yerusalemu, na muzaifa kati yao ata kua kama siku ya Daudi, na nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, sawa malaika wa bwana mbele yao. 9 Na ile siku, nitajikaza kuharibisha mataifa yote itakaekuja kupigana na Yerusalemu. 10 Sasa nita mwanga juu ya nyumba ya Daudi na wakahaji wote ya Yerusalemu roho ya rehema na kuomba, na wata niangalia yeye walio mchoma, wata lia kama vile wanalia mutoto wa peke, watalia sana sawa vile banaficha mutoto wa kwanza. 11 Na ile siku, kilio itakua kubua uko Yerusalemu, sawa na kilio ya hadadrimoni katika bonde ya Megido. 12 Na inchi itakuwa na kilio, kila jamaa ngabo yake; jamaa ya nyumba ya Daudi ngambo yake, na wanamuke ngambo yabo, na jamaa ya nyumba ya Nathani ngambo yake, na wanamuke ngambo yabo. 13 Na jamaa ya nyumba ya lawi ngambo yake na wanamuke ngambo yabo; na jamaa ya Shinei ngambo yake, na wanamuke ngambo yabo. 14 Jamaa yote ingine, kila jamaa ngambo yabo, na wanamuke yabo