SURA 13

1 Na ile siku, ya nyamba ya Daudi, na wakahji ya yerusalemu , kisima ya maji kwa zambi na Bushafu. 2 Na ile siku, asema Bwana wa majeshi, nita malazi ndanu ya inchi majina ya Mungu , juu musiikumbeke tena tosha tena; ndanu ya inchi manabii na Roha ya Bushafu. 3 Kama mutu akitabiri tena Baba yake na mama yake, alie kuzala, mutamwambia: ahata ishi, maana unasema bongo mujina ya Bwana na Baba yako na mama yako, walio kuzala, bata mutobola wakati atatabiri, 4 Na ile siku, wa nabii wata wata nguruma mu maonyo yao wakati waki tabiri, na watavala koti ya manyo wa kwa kudanganya. 5 Kila mutu atasema, mimi siko na bii mimi ni mlimaji , maana walinuiza tangu ujana wangu. 6 Na kama Banaku uliza; bilonda ukona yo kumikono inatoka wapi? Atajibu: Bilonda nilipata ndani ya nyumba ya Rafiki yangu. 7 Mupanga, lamuka juu ya muchungaji wangu na juu ya mutu alie kuwa mwenzangu! asema Bwana wa majeshi, piga muchungaji, na kondolo wa tawanyike: na mie tageuza mukono wangu juu ya wazaifu. 8 Katika inchi yote, asema Bwana, na sehemu mbili kwa tatu wa tamali zika; naku Ptea, na sehemuya ya tatu itabakia. 9 Nita kamata dehemu ya tatu na ku ipitisha ku moto, nitawasafisha kama zahabu inasafishiwaka. Wata ita jina yangu, nami natawasikia, wata, nitasema: ni watu wangu nao watasema , Bwana ndiye Mubgu wangu.