1 Tazama siku ya Bwana inakuza na Mateka watagawanyika kati yao . 2 Nitawakusanya mataifa yote walete vita Yerusalemu ; na ile muji itapikiwa nao nyumba itategewa na wanamuke wana bakwa na sehumu ya watu wa muji wataenda ku utu mwa na mabaki ya muji . 3 Bwana atokea na atapiga na mataifa ile sawa vile alipigana zamani siku ya vita. 4 Mukulu yake itasimama ile siku juu ya mulima wa mizeituna ;iko ngambo ya Mashirika na ngambo ya mangaribi, na litafanya mulima mkubwa sana na kipande ya mulima itaenda kaskazini na kipande inakwenda kusini 5 Na mutakimbia munjia ya bonde ya milima maana bonde ya milima itaenda mpaka aselij mutakimbia kama vile mulikimbia mbele ya kutetemeka ya bulonga mu siku ya uzia mufalme wa yuda na Bwana mungu wangu atakuja na watakatifu wote pamoza na ye . 6 Na ile siku akutakuwa mwangata katakuwa baridi na kiwi. 7 Na itaku wa siku moja inajulikana na Bwana aitakuwa muchana,wala busiku lakini wakati wa magaribi mwangaza itaonekana. 8 Na ile siku maji a uzima itatoka ndangi oya Yerusalemu nusu yake itaenda ngambo ya bahari mashariki na njsu yake ngambo ya bahari , ya magaribi na itakuwa wakati wa ya baridi na kipwa. 9 Bwana atakuwa mufalme juu ya dunia yote , siku ile Bwana atakuwa moja na jina yake moja . 10 Inchi yote itageuka ku wa kama uwanja tangu geba mupaka rimoni ngambo ya kusini ya Yerusalema, na Yerusalema itainuliwa juu na ataikala fasi yake tangu mulanga ya Benyamini mupaka fasi ya mulango ya kwanza mupaka mulango ya pembeni na tangu munara ya Hananeli mupaka kikamuho ya mufalme. 11 Na batu bataikala ndani yake akutakuwa laana tena Yerusalemu itikala na Salama. 12 Tazama mapigo ambao Bwana atabapika batu yote walio piganisha Yerusalmu, na nyama ya mwili yao kuharibika lakina benye batasimama juu ya mikulu yao na macho yao itaharibika ndani ya bichwa yao na lulimi yao itaharibika ndani ya kinywa yao. 13 Ile siku Bwana atazaa fuju kat yao wa moja watakamata mikono ya mwengine na mukono utainuliwa kwa moja na wengine. 14 Yuda itakombanisha Yerusalema na wata kusanya utajiri ya mataifa ya kandokando ahabu makuta manguo ya esabu kubwa . 15 Na bilonda itapiga ata nawapunda na punda na ngamia, na punda , na wa nyama yote ndani ya makambi, na iki kiloda kita fanana na kingine. 16 Wote watabakia mu mataifa yote inakuja kupiganisha Yerusalema wata panda kila mwaka kuabudu mbele ya mufalme Bwana wa Jeshi, na kusherea karimu ya bibanda. 17 Kama kutakuwa majamaa ya dunia enye aita panda Yerusalema kwa kwabudu mbele hya mufalme bwana wa majeshi mvula aita wanyeshea. 18 Kama jamaa misriaitapanda kama aitakuya mvua aitanyesha yulu yake atapiga mataifa enye aitapanda kuabudu ku karamu ya bibanda. 19 Itakuwa mapigo ya mistri, na mipago ya mataifa yote enye aitipanda ku karamu ya bibanda. 20 Na ile siku itaandikwa katika kengele ya wapunda, utatifu wa Bwana ! Nayo machombo ya ndani ya nyumba yaBwana itakuwa kama kikombe mbele ya mazabau. 21 Kila chombo katika Yerusalema katika Yuda ittatolewa kwa Bwana wa majeshi, na wote watoto a sadaka wataku ya kubeba bile biombo na kupika nhyama ndani yake na akutaku wa wafanya biachara ndani ya nyumba ya wa majeshi.