Sura 4

1 Mardoshe akatambuwa mambo yote yenye kupita, akapasuwa ma vazi yake, aka vala guniya na kupa kala majifu, kisha akaenda kati ya muji na kulalamika na nguvu yote kwa uruma. 2 Na aka enda mpaka kumalango wa mufalme, na kulikuwa oda akuna mutu ata moja ana weza kuhingiya mwenye kuvala guniya. 3 Kwa kila jimbo, fasi yote kwenye kuli fika oda ya mufalme na masemo yake, kulikuawa kiliyo mkubwa ndani ya Bayuda, waka funga chakula, kuliya na kujisumbuwa sana na bengi ba kalala yulu ya guniya na ku jimwangiya majifu. 4 Wa fanya kazi ya Esta na walinzi wake, waka ja na kumonesha mambo yenye kupikana, na bibi wa mufalme aka tete meka sana, aka tuma ma vazi kwa Mardoshe, juu ya kumuvika na ku muhondowa guniya, la kini Mardoshe aka katala. 5 Kisha Esta akaita Atake, moja wa watumishi benye mufalme aliweka pepbeni yake, aka mutuma aka ulize Mardoshe ni mambo gani na ina tokeya wapi? 6 Hatake aka enda kwa Mardoshe ndani ya muji, mbele ya mlango wa mufalme. 7 Na Mardoshe aka mwambiya yote yenye kupitikana, na aka monesha, bwingi ya makuta Hamane ata peleka kunyumba ya hazina ya mufalme, kisha kuwa ba Yuda. 8 Aka mupatishiya mkanda moja wenye kutangaziwa inchi yote ya susu juu ya kufa ya wa Yuda, kwa sababu amoneshi Esta, na ku mujulisha mambo yote na kumu tuma ende kwa mufalme ju ya kuomba nehema na kujililiya kwa sabu ya wa ndugu yako. 9 Hatake akarudi kumonesha Esta jibu tya Mardoshe. 10 Esta aka tuma Hatake ende akasema na Mardoshe: 11 Ba tumishi yote ya mufalme na watu wote wa jimbo ya mufalme wana famisha kama kuko Amri kubwa kadi kifo juu ya mutu yote mwana hume ao mwana muke juu ya kuingiya kwa mufalme ndani ya lupango yake, bila ku kuhitwa, mupaka mutu yule mufalme ata munyolosheya gongo lake ya aro njo, ata ingiya na ata pana, na miye bado shiye itwa na mufalme tokeya siku makumi tatu. 12 Wakati masemo ya Esta ika mufikiya Mardoshe. 13 Mardoshe aka mujibu Esta, usi waziye kama utapona peke yako ndani ya kizazi ya Yuda kwa sababu uko ndani ya nyumba ya mufalme. 14 Kwa sababu, kama uka jazwa na kiburi, kusaidiwa na kufu nguliwa kwa ba Yuda ita toka fasi igine, na weye na nyumba ya baba yako muta kufa, nan nani ana juwa kama ni kwasababu ya wa kati iyi njoo uli fikishwa kuwa bibi wa mufalme? 15 Esta aka tuma, ba mwambiye Mardoshe. 16 Wende uka changishe, ba Yuda bote, benye kuwa ku susu, na mu funge juu yangu, bila kula wala kunywa, muda wa siku tatu, iwe busiku wala muchana na miye ni ta funga pamoja na wa tumishi wangu, kisha ni ta ingiya kwa mufalme, ata kama Amri iko, kama ni takufa, ni kufe. 17 Mardoshe akaenda, na kutimi za yote ambaye Esta alisema.