SURA 3

1 Nyema ya mambo haya mfalme Aswero aka mupadisha Amane madaraka, mtoto wa Amedata wa agagwita, aka mupandisha cheo na kumuweka juu ya wakubwa wote benye balikuwa pamozja na ye. 2 Wa fanya kazi wote wa mfalme ,benye ba likuwa kumulango wa mfalme wakapiga magoti na kujishusha mbele ya Hamane kwa sababu ili kuwa oda ya mfalme juu yake kwakalakini mardoshe akikatala kupiga magoti na kujishusha mbele ya Hamane 3 Na wa fanyakazi wa mfalme , wa lio kawa ku mulango wa mfalme wa kisema na Mardoshe kwa nini hau eshimiye oda ya mfalme? 4 Kama walimuliza jambo ile siku yote na kaku wasikiya , waka mpelekeya habari kwa Hamane na kutazama kama Mardoshe ata endeleya kukatala na kuheshimu kwasa babu ali wambiliya kama yeye ni mu Yuda 5 Na Hamane aka ona kama Mardoshi hapige magoti na kuji shusha mbele yake aka jazwa na kasirani. 6 Lakini hakutaka kumushika Mardoshe peke yake kwa sababu wali mujilisha kizazi gani Mardoshe alikuwa na akapenda kuhuw kizazi mzima ya Mardoshe? Wote wa Yuda wale wali keti ndani ya muji wa mfalme Aswero. 7 Ku mwezi wa kwanza yenye ilekuwa mwenye wa nisan mwaka ya kumi na mbili ya mfalme aswero baka piga kura yani uchaguzi mbele ya Hamane kila siku na mbili yenye ilikuwa mwezi wa Adar. 8 Kisha Hamane akasema na mfalme Aswero, ndani ya ma jimbo ya ufalme wako kuku kizazi moya kina ta wanyika na ndani ya kile kizazi ba na kuya na Amri yabo peke na haba heshimu Amri ya mfalme haku na faida hata moja kwa mfalmeku wa acha wa ishi na amani. 9 Kama mfalme ina mupendeza tu andike Amri yaku wa huwa wote na miye nita towa elfu kumi ya pesa kumikono ya fanyakazi, kwasababun makuta ingye mu hakiba ya mfalme. 10 Mfalme akatowa pete yake ku mukono na kumupa Hamane mtoto ya Hamedata wa gaguite Aduyi ya wa Yuda. 11 Na mfalme akasema na Hamane nakupatiya ile pesa na bale batu bote ubatendeye kishenzi yani ubahuwe . 12 Na mwandisha wa mfalme aka itisha wa handisha wote siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza na ba ka handika mikanda kufatana na Oda ya Hamane, kwa wenye ku mufwata mfalme kwa wa falme wa majimbo yote na wa kubwa wa watu na kwa kila jimbo kufwatana na luga yabo ili andikwa mujina ya mfalme Aswero na ku saini na pete ya mfalme . 13 Mikanda ili tumwa kwa uwingi ndani ya majimbo yote ya mfalme kwa sababu , kuharibu na ku huwa kizazi yote ya wa Yuda kijana wala mkubwa mtoto wala bana muke kwa siku maja mu siku ya kumi na tatu ya mweji wakumi na mbili yenye kuwa mwezi wa Adam na juu ya ku wanya nganya vitu vyao vyote. 14 Mikanda ile ya kufinikwa yenye kahandikiwa na kutangaziwa kila jimbo, na kuita kila mutu akuwe tayari ile siku. 15 Mikanda ile enda kwa haraka sana kisha Oda ya mfalme na neno ile ili tangaziwa muji mzima mkuu wa susa na wakati Hamane na mfalme walikuwa na kunyywa pombe na furaha na muji muzima ili kuwa na jii handaa.