1 Kisha maboaya, wakati ka sirani ya mfalme , ikashuka, aka waza mambo ya Vasti, ile yenyewe ali fanya , Amriye nyewe ili shikwa, kwa ajiliyaka. 2 Kisha bale, batumishi ya mfalme mabikira wa jane, na wazuri. 3 Na mfalme achaguwe ndani ya majimbo yote ya ufalme wake, wachaguzi juu ya kuku sanya mabikina wa jaane wote na wazuri sana, apa sise muji makubwa, ndani ya nyumba ya wana wake chini ya ulinji ya hengwe, mutumishi wa mfalme, na muchungaji ya wa na wake wote, mwenye ata bapati shiya vitu vyote juu uzuri wabo. 4 Na binti yeyote ata kuwa mufuraisha mfalme, ata kuwa bibi wa mfalme na fasi ya Vasti ile mawazo ika furaisha mfalme na waka fanyiziya hayo 5 Kulikuwa ndani ya sise mujimku muyuda moja jina lake Mandoshe mutoto wa jainis na shimeya mtoto wa kisi, wa kis, Wakizaya benjame. 6 Yule mwenye alibebe wa mateka ku Jeruzalema, bati ya washikwa pa moja na Jekonya mfalme wa Yuda, na Nebukandeneza mfalme ya Babiline. 7 Aka komalisha, Adasa, angayeitwa Esta, binti wa muyomba yake, kwa sababu wala mama, binti uyu alikuwa muzuri wa umbo na kwa sura, wakati wa Mardoshe aka muchukuwa kama mtoto yake 8 Wakati bali tangaja Odaya mfalme na masemo yake, na wa ka kusanya ndani ya sise muji mukubwa, mabikira binti wengi chiniya ulinji ya Hegai, Esta naye ali chaguliwa na wakamu peleka kunyumba ya mfalme, chini ya uchungaji ya Hegai mulingi ya wana wake. 9 Binti yule aka mufaraisha sana na kupata ne nehema mbele ya mfalme aka ji tengenenza kwa kumu patishiya vitu vya ma pendezo juu ya usafi wake, mupa wa binti sana wa jane, Walio chaguliwa na ndani ya nyumba ya mfalme, na kumu weka pamoja na wale wabinti na bana muke. 10 Esta aku julisha kabila yake wala kuzaliwa kwake , kwa sababu Mardoshe ali mukataza asiseme. 11 Na kila siku Mardoshe alianzaka kwenda na kurudi kunyumba ya wa na wake, kwa Sababu ya kujuwa na muna gani Esta ana ishi na muna gani weko na muchunga. 12 Kila binti ali kuwa naenda mbele ya mfalme Aswero kwawa kati wake, kisha kuji tengeneza muda wa myezi kumi na mbeli kufatana na mahandiko gisi wa na wake wali anzakuji tengeneza, myezi sita ya kupakala mafuta ya bei koli na myezi sita ingine juu ya kutengeneza murili na mafuta ya ma ne, mane ya uta kaso ya wana wake. 13 Ni vile kila binti alikuwa na enda mbele ya mfalme, na waka ti ana pita kunyumba ya mfalme Wana mwacha achunguwe yote ile ana penda. 14 Ali anga kwenda mangaribi na kesho asubuyi ana pita kunyu mbaya pili ya wana wake, chini ya ulinzi ya chachega , mutu mishi wa mfalme, na mulinji wa ma habala, na ha wezi kurudi tena kwa mfalme, mpaka mfalme yepeke akuwe noye lazima, na ata mwita kujina yake. 15 Wakati muda ya Esta kwenda kwa mfalme ika timiya, akafika Esta binti ya Abi chayi, mwipwa wa Mardoshe ule ali kamata kama mtoto wake wa kuzala, aka omba kwa Hegai mtumishi wa mfalme gisi hana pashwa kujitengeneza na Hegai aka furayi sana na Esta na haka furaisha bote benye bali muona wakati ali wala na kuji tengeneza. 16 Esta baka mupeleka ya mfalme Aswaro, ndani ya nyumba yake ya ufalme, mweji wakumi, ile iko mwezi wa tebeti, mwaka wa saba ya wongozi wake. 17 Mfalme aka penda Esta kupita bana muke bote, na aka pataheri na utukufu mbele yake, kupita wale wa binti wajane wote, aka weka taji ya ufalme ku kichwa kyake na aka kuwa bibi wa mfalme pa fasi ya Vasti. 18 Mfalme aka fanya feti mku bwa, kwa ba toto yote ya wafalme na watumishi wake wote, karamu kwa utukufu wa Esta, aka pu muzista jimbo muzima aka towa Sadaka kwa furaha ya ufalme wake. 19 Mara ya pili wakati wali kusanya wale, kusanya wale wa binti wa jane, Mardoshe alikuwa, wa kwila kumulanzo wa mfalme. 20 Esta haku honeshaka ata uzaliwo wake wala kizazi kyake, kwasababu Mardoshe ali mukata jaka , na haka fwata Oda ya Mardoshe, kwa makini kupita wakati ali kuwa chini ya ulinzi wake. 21 Kwa muda ule, kama vile Mardoshe alikuwa kumulango wa mfalme, Bigta na Teresha, wa linzi wa wili wa mfalme, baka silika, silika, na kusiki lizana ba muhuwe mfalme Aswero 22 Mardoshe aka juwa mipango yabo na aka mpasha bibi wa mfalme Esta, naye aka mwambiya mfalme gisi Mardoshe ali monesha. 23 Walichunguza ile, na waka tambuwa kama ni kweli, na mambo iyo ili andikwa ndani ya mikanda Yabo ya zamani mbele ya mfalme