SURA 1

1 Ilikuwa wakati wa mfalme Asuero, yule Asiero alikuwa mongozi toka inchi ya Indya mpaka Echopya ma jimbo mya moja makumi mbili na saba. 2 Na mfalme Asuero, alikuwa mwenye kuketi katika kiti chake cha ufalme ndani ya muji mkubwa. 3 Mwaka watatu wa ufalme wake, aka tayarisha feti moja kwa watoto wake wote na wafanya kazi wake wote, wa kamanda, wa majeshi ya Persi na wa Mede wa kubwa na wa ongozi wa majimbo yote kusanyika pale mbele yake. 4 Aka onesha bwingi ya mali yake yote ya ufalme wake, na utukufu wa ukubwa wake wote muda wa masiku ya feti, kupitiya myaka miya moja makumi munane. 5 Kisha masiku ile kupita, mfalme aka fanyiziya watu wote waka haji wa mujo mkubwa Suza, Karamu kubwa muda wa siku saba, toka watu wa kubwa mpaka wadogo, ndani ya lupango yake ya ufalme. 6 Rangi mweupe ya majani na ya mawingu ilipakaliwa na kamba ya nguo yabeyi na vifungo vya zahabu na miti ya beyi, na vitanda ya oro na vya feza na makiti ya majiwe 7 Wali bakabuliya pombe ku bikombe bya zahabu, ya vitu mbalimbali na kulikuwa pombe mingi yenyewe mufalme aliya towa. 8 Lakini haba kusukuma mutu ata moja kunywa nguvu, kwa sababu mfalme alipana oda kwa batu yote ya nyumba yake, basaidiye mutu yote vile anapenda. 9 Bibi wa mfalme Vasti, aka fanya feti juu ya bana muke bote benye bali kuwa ndani ya lupango ya mfalme Asuero. 10 Siku ya saba; kama vile roho ya mfalme ili kuwa na fura sana kisha kulewa vinyu, akaleta oda kwa Mehumana, Bitha, Harbona, Bigta, Abagtha, Zetare, na karkasi, wafanyakazi saba watumishi ya mfalme Aswero, 11 balete bibi wa mfalme, Vasti, pamoja na mavaziyake ya ufalme, juu ya kuonesha uzuri wake, mbele ya batu bote, kwa sababu alikuwa mzuri sana kwa sura. 12 Kwa lakini bi wa mfalme, Vasti, akakatala kwenda, wakati alipata oda ya mfalme, na mfalme aka silika sana, kasirani ika mupanda sana. 13 Na mfalme akauliza wa shauri wake, wenye walifahamu mabo ya muda ule, ni vile walikuwa wa kiongoza mambo ya mfalme, mbele ya bale bote benye bali juwa sheriya na haki. 14 Pembeni yake alikuwa na: Karshena, Marsena, Memukana, watoto wa mfalme Saba ya Perse na ya Medi, benye kuona sura ya mfalme kila wa kati na balikuwa ku mustari wa kwanza mupango ya mfalme. 15 Sheriya gani tutatiya juu ya bibi wa mfalme, Vasti, kwa juu ya kukatala oda ya mfalme Aswero, iliyo pewa na watumishi wake. 16 Memukana aka jibu mbele ya mfalme na watoto wa mfalme, aikotu, juu ya mfalme njoo bibi wa mfalme Vasti alikosa, iko juu ya wafalme wote na watu wote wakahajiya jimbo ya mfalme Aswero. 17 Sababu kosa ya bib wa mfalme ita fikiya bana muke bote, na ita tuma bahanje kuzarahu ba bwana yabo, watasema, mfalme Aswero ali hitaka mama Vasti ku feti na ye ali katalaka. 18 Natoka, siku ile, watoto wana wake wote ya mfalme ya Perse na Medi, watakapo sikiya ukosefu wa bibi wa mfalme na bata ibeba kwa wafalme wote, na itakuwa zarahu mukubwa na kasirani. 19 Mfalme akifurahi, atangazishe na andikishe juu yake ndani ya sheriya ya Perse na ya Medi na kukataza kabisa, kama sheriya ya mfalme inakatala, Vasti asifike tena mbele ya mfalme Aswero, na mfalme ata chakula mwana muke mwengine ule ata kuwa bibi yake, mwenye ata kuwa muzuri kupita Vasti. 20 Sheriya ya mfalme ita julikana ndani ya ufalme wake wote, ata ukubwa uliyo nayo, na wana wake wote wata eshimu ba bwana yabo, toka mkubwa hadi mudogo. 21 Ile mipango ika furaisha mfalme na watoto wa mfalme, na mfalme akakubali, kisha masemo ya Memukana. 22 Aka tuma mikanda ku majimbo yote ya ufalme wake, na kila jimbo kama ilivyo andikwa na kila batu, kufatana na ruga yabo, na bakasema kama kila mwana ume anapasha kuwa mukubwa wa nyumba yake, na kila mutu atasema ruga ya kabila yake.