Sura 5

1 Siku ya tatu, Esta aka vala ma vazi ya bibi wa mfalme, na kusibama mbele ya lupango ya ngumba ya mfalme, alikwa mwe nya kuketi kuketi kya ufalme ndani ya nyumba ya ufalme, ka tikati ya mbango wa kwengiliya. 2 Wakati mfalme, aka ona mama Esta mwenye kusibama mbele ya mulango ya lupango ya mfalme na aka pata ne hema mbele ya mfalme, na mfalme aka inuwa gongo ya Oro ya mfalm. 3 Mfalme aka mwambiya, kuna nini bibi wa mfalme na unataka nini? ata kama, nita kuwa kipande ya mfalme, ni takupatishiya. 4 Esta aka mujibu; kama mfalme una furai namiye, ukuye leo kukarumu pamoja na Hamane ambayo niliyo andaa, 5 Na mfalme akasema mwende sasa ivi mukamtafute Hamane, kama vile Esta ana penda, Mfalme akaende na Hamane ku fetitiambayo Esta aliye andaa. 6 Esta aka jibu : Angaliya kile miye naomba, na ile mi napenda. 7 Kama mina pata nehema, mbeleya ya macho ya mfalme, na kama mfalme ana penda Ombi langu na kufuraisha moyo wangu, ni kwamba mfalme akuye tena na. 8 Hamene kufeti yenye nilimi tengene zeya, na kesho nitaleta jibu kwa mfalme kufatana na Oda yako, 9 Hamane aka toka ile siku nafura, na ha sana ndani ya moyo wake, na wakati aka ona Mardoshe kumu lango wa mfalme mwenye kukata la hupiga magoti wala kujishu sha mbele yake, aka silika sana mbele ya Mardoshe. 10 Aka funga moyo, na kwenda kuzunguluza na kwenda kuzungumuza na warafiki ya ke Zenkes na bibi yake. 11 Hamane aka wasemeya bwingi ya mali yake na bwingi ya batoto yake na gisi gani mfalme ali mupandi sha madaraka na kumutiya mku bwa juu ya wakubwa wote na wa tumishi wote wa mfalme. 12 Na aka ongeza tena, ni kompaka mi peke mwenyewe bibi wa mfalme Esta ana furahi kuhalika ku koeramu yake, na nina itwa tena ku feti kesho, kwa bibi mfalme pamoja na Mfalme. 13 La kini kwa yte, kumacho yangu ina kuwa siku Sikumingi sitaki kala ku mlango wa mfalme 14 Zerkese, bibi yake na barafiki yake baka mwambiya, tutayari she, muti ya urufu wa metre makumi mbali na tano ya urefu, na kesho asuburi, Mardoshe: kisha uta enda na fura ku feti pamoja na mfalme, ile mawazo ika mufaraisha sana Hamane na aka siba misha muti juu ya Mardosha