1 BIlifaka upanda mxengine wa bahari, ndani ya muji wa Gerasi. 2 Kwa nala malamoya Yesu alitoka ndani ya mtubu, na mtu ya mapepo mingi alikuya mbele yake kisha kutoka ku makaburi. 3 Uyu mtu alikuwa na bakiya ku makaburi. A kukuwa ata mtu mumoya waku muweza, hata ku mufunga na makamba ao minyororo. 4 Uyu mahisha yake alikuwa nama kamba ao minyororo na machuma ku migulu yake. Lakini alikuwa nayi kata sana na kuvunja ile machuma. a kupatikana ata mtu wa kumu weza. 5 Usiku na muchana, alikuwa mu makabwi na ku milima. Alikuwa na lalamika sana na kujika ta kataka bilonda na ma fiwe. 6 Waka ali ona Yesu kumbali, aka kimbiya mbiyo sana nna kupiga magoti mbele yake. 7 Aakalala mika tena sana na sawuti ya nguvu: "Nini yenye weye na miye, Yesu mwana wa Mungu aliye ju sana? "Nime kulomba kwa jina la Mungu, usini sumbwe". 8 Sababu alikuwa na mwambiya, " mtake ndani yake mapepo buchafu". 9 Na Yesu muwuliza: Jina na yako ni nani?" Aka mujubiya, " jina yangu ni legioni, sababu tuka ba mingi". 10 Tena wali mu lomba asibatume kufasiya ku kawuka. 11 Hile hile wakati kikundi kubwa ya ma ngulube ili kuwa na kuliswa ju ya mulima, 12 Waka mulomba abatume ku ma ngulube, tu ingie ndani yao. 13 Na Yesu aka ba ruusu, mapepo ika mutoka uyu mtu na kuingiya kwa ngurube. Na ma mangurube ika kimbiya taka chini ya mulima mupaka bahati na balikuliwa ngurube karibuni elfumbili ilizama ndani ya balali. 14 Ba chunga nguruwe baka peleka abari ndani ya mungini na mihani karibu karibu yote ilipikana na batu mingi balikuya ju baone bienye bilipitana pale. 15 Wlaikuya kwa Yesu, na wakati baliona mtu mwenye alikuwa na mapepo mbele (jina legioni) ana ikala, tena ana vala na akili yake, wali shanga sanga. 16 Benye baliona yenye ilifanikana na mtu wa papepo baka ambiya bale benye balikuya yote ilifanyikane na maneno ya ngutrube. 17 Tena waka mulomba Yesu sana atoke mu mugine yabo. 18 Vile ni Yesu alikuwa na ingiya ndani ya mutumbu, mtu wule alikuwa na mapepo, ali mulonma aende naye pia. 19 Lakini Yesu aaku mu itikiya, me aka mwambiya wende ku nyuma yako karibu ya batu yako na ubambambiye yote yenye Mungu ana kufaniziya na uruma yenye akaku onesha. 20 Kisha akaenda na akatangaza makubwa yote yenye Yesu alifanya ju yake ndani ya Dekapoli, na kila mtu ali shangaa sana. 21 Wakkati Yesu alikuya ngambo ya mayi kwa mutumka batu ba mingi bali shangana pembeni yake na bali kuwa bana simama pembeni ya mayi. 22 Mumoja wa ba ongozi ba sinagogi, jinalake Yairo, alifika pale na wakati aliona Yesu, ali jitupa chini ya migulu yake. 23 Na akamuomba sana , na kusema " mutoto wangu ana taka kufa" samani kuya na umutiliye mikone, apate kusikiya muzuri na kuponya. 24 Kisha Yesu alienda naye na batu mingi sana baka mufuata te na baka kuya mbele yake. 25 Kumbe, kulikuwa mwana muke alikuwa na gojwa damu kutoka miaka kumi na mbili. 26 Aliteseka sana kumikono ya baminga nya mingisa sana. Na alipoteya yote alikuwa nayo lakini ayi kubalika, na ilikuwa tena nguvu sana. 27 NA aka sikiya biko na oneya ju ya Yesu kisha, ali muzogeleya Yesu kinyume wakati alikuwa natembeya na kundiyaa ya batu mingi na aka gusa nguwo yake. 28 Ju alikuwa na jisemeya, "niki gusatu ma nguo yake, nita ponya". 29 Sa aligusa tu na damu ika isha kutoka, na aka sikiya ndani ana ponya kwa ugojwa. 30 Kwa mbiyo Yesu alisikiya nguvu moya ina mutoka mu mwili, na aka gewuka mbele ya mukutano na aka wuliza, " nani ana gusa nguwa yanfu?" 31 Na mitume bake mujubiya, "Una ona kundi kubwa ambaye inaku songa, kisha una sema bana ni gusa?" 32 Lakini Yesu ali angaliye pembeni yake ju ajuwe kama na ninjo alifanya vile. 33 Mwana muke alijuwa yote ili mufikiya, alikuya na boga sana na kuteteneka mbele yake. Na kujitupa chini mbele yake Yesu na aka sema ukweli yote kabisa. 34 A ka mwambiya " Binti wangu, imani yako inaku ponya. Wende na amani na uponye na magonfwa oyako yete". 35 Wakati alikuwa na sema naye, batu balifika toka ku nyumba ya mkubwa wa sinagogi na kusema: binti wake amekufa. Kwa nini una endelesha ku sumbuwa mwalimu?" 36 Usi ogopi asema Yesu kwa mukubwa wa sinagogi. Kuwa tu na imani. 37 Ali kataliya bote basimu fwate, kutosha Petro, Yakobo na Yowani, na ndugu yake na Yakobo. 38 Balifika ndani ya nyumba ya mukuu wa sinagogi. Yesu aka ona batu balikuwa makelele mingi sana, bali kuwa na lia na. 39 Kisha kuingiya nyumbani, aka bambiya, "nini yenye mu na changanikiwa na kuliya ivi? Mtoto anala akukufa". 40 Bote bali mucheka. Lakini alibatosha bote inje. Ako kamata tu baba yake na mam wa mtotom, na bale balikuwa naye, na baka ingiya kwenye kuli kuwa mototo. 41 Aka kamata mkona wa mtoto na akasema: "Talitha koum" ambae ina sema, binti (ntoto mwana muke) na sema shimama. 42 Kwa mara moya mtoto akashimama na aka tembeya, ( mahana alikuwa na niaka kumi na mbili). Na bote baka changala sana tena. 43 Na aka bambiya kama ba sipime kwa mbiya mtu mambo aya. Kisha aka mambiya ba mupe chakule akule.