1 Ina sema ivi: na alitoka kule akaenda ku mungini yake na banafinzi yake baka mufata. 2 Wakata sabbata ili fika , akafundisha ndané ya synagogi . Batu ba mingi balimusikiya nafurasana. Balikamwa na sema: " wapi djo iyi mafundisho?" 3 "Hakiligani bali mupatiya ?" "mhudiza gani iko nafania na mikoma yake. Hauyuwe mfandi mototo wa Maria ndungu ya Yakobo, wa Yosua, Jude na Simona? Ba dada ya abiko apa na shiya ? na aba kuffurahi na Yesu. 4 Na Yesu aka bambiya: " mu mabuawezi kokosa heshima isipokwa ndani ya mugini yake na ndani ya roho ya ndungu yake na ndani ya nyumba yake. 5 Akukuwa na uwezo ya kufanya miujiza hapa , lakini alikuwa na tiya mikono ku kitsha ya bato benye biko banagonjua na ku bapoesha. 6 Kwa miniya yabo ili mu shangaza. Na akaenda ndani ya migini ya pembeni fundisha. 7 Na akaita banafunzi yake kuni na mbili akabatuma mbili ma kuba patiya ma uwezo yulu ya ma pepo. 8 Na akabambiya basi bebe kitu djuya safari yabo, isipokwa mutu moyatu baatshe mi kate, ba atshe mizigo na basi bebe makuta kumifuko ya bo. 9 Ha kini ba kuwe na bilato , na kanzu mbili. 10 Na akabambiya : kila nyumba yenye mutu ingiya ,mu bakiye ndani mpake siku mutu toka ile mugini. 11 Na kama mugini moya bana katala kupokeya wale banakotala kubasikiya, muke ku ile mugini, mu panguze migulu yemu na mutoke ibakiye ushuda kwabo 12 Balitoka naku ubiri kama batu ba atshe Zambi. 13 Bakafukuza ma pepo mingi, na balipakala batu ba mingi benye balegonya mafuta na ba kapona . 14 Mfalme Heroda aka beba ile, kwadju jina ya Yesu ika ina djulikana sana. 15 Bengine balikwa na sema: " Yowane mubatizayi ana fufuka kubafu ma kwasababu ya ile ,ngufu ya midiza iko mu kazi yake." Bengine balisema : "iko Elia " bengine balisema tena : iko mu mubii, sa mu moya waba mabii wa zamani 16 Lakina wa kati Herode aliskiya na kosema "Yowane mwe nye mili kata kitsha a na fufuka " 17 Sababu Herode alifungisha Yowane na baka muinza gereza sababu mwana muke Herodias ( bibi wa mulokoyake Filipo kwa sababu alimuwaa.) 18 Sababu Yowane aliambiya Herode: " hairusheriya kuwowa bibi wa ndungu wako". 19 Lakiru Herode alikwa na bisila ni yake na aka penda ku muuwa likiki akukuwa na uruezo. 20 Dju Herode alikwa na agopa Yowane, alidjuwa kama ni mutu mwema ma mutakatifu, na aka mutshanga salama. Na akasendeleya na kumunikia, na aka sikiya mubaya sana wa kati ile alikuwa na musikiya na furaha 21 Kisha wa kati ili pati kama siku ya kuzalikiwa kwa Herode na akatengeneza tshakula kwa dju ya bakubwa ba mungini yake, baongozi na ba kubwa ba Galilaya. 22 Binti wa Herodias ye mwe nyewe ili ingiya na akatsheza mbele yabo, na aka mufuraisha Herode na bageni bake benye balikuya dju ya tshakula le mufalme anarumbiya binti: "unilomba biote bienye una penda utapata" 23 Na aka mulapiya anasema: yote nyenye uta milomba nita kupitiya, mpaka pa kati kati ya mufulme wa ngu". 24 Akatoka aka mbiya ma man yake : " ni mulombe nini?" na mama aka mujibiya asema : " lomba kitsha ya Yowane mubatizo. 25 Na kwa mbiyyo, aka ingiya kwa mufulme na naku mulomba ivi: " na penda unpatiye apa sasa , ndani ya sahani kitsha ya Yowane mubatizo. 26 Na mufalme aka uzunika lakkini dju alilapa na bageni age pacha ku katala kulomba kwake. 27 Sasa mufulme akatuna askari moya ndani ya benye bana mutshugaka na muongozi dju yaku muleteya kitchwa ya Yowane na askari akalende na kukata kitchwa ndani ya gereza. 28 Aka leta kitchwa yake ndani yasani na kuyi patiya mama yake. 29 Na banafunzi yake bakasikiya habari, balikuya na baka beba muli yake 30 Na wa mutume ba kakatshangana pembeni ya Yesu baka mwa mbiya yote yenye ili pitikana na nakofundusha. 31 Na akabambiya ivi : "mutoke mulende muporikavu na mupumuzike munda kidogo". Dju batubamingi balikawa na kuya na ku rudiya , na akukuwa na pata wakati ya kukula. 32 Kisha na akaenda ku benki moya pembeni ya djangwa 33 Lakini alibaona wa kati balikwa na toka na mingi bali bafaneya dju balikwa pa moya na balikimiya pale bote na mugulu, ku migini yote na bakafika mbele yabo. 34 wa kati balikwana shu ka pembeni ya bari, baka wona batu ba mingi na akabasikilia urama ndju balikwa kama vile bakondoo bila mutshungadi: na aka anza kuba fundisha bitu biamingi. 35 Na kati ilesogeya banafunzi yake baka musogeleya na kumwambiya ivi : apa ni djangwa na ina kwa nyuma sana. 36 Ubarudishe ku mugini baende bakatafute tshakula 37 Aka bajiya ana sema ivi: mye peke mubapatiye tshakula. Baka mwambiya: tu na weza enda kuta futa mikate djuya batu elfumbili na kuba patiya bakule? 38 Aka bambiya ivi: " bipande ngapi yenye mukonayo? mwende na muone. Wa kati baliyenda, bakasema bipande tano na samaki mbili. 39 Aka bambiya batu baikale ndani ya bikundi ku mayani mubiche. 40 Ba kaikala kubikundi ya makumi tano na ya mia moya. 41 Aka kamata bipande ya mikate tano na samaki mbili na akangalia mbinguni, akaibariki nakuyikata kupipande na kwambiya bana funzi yake bagabuliye kikundi ya bato. Nabakagabumlia bote il samaki mbili. 42 Baka kula bote nagisi balishiba. 43 Baka lokota bipande ya mikate, bakagabulayo ndani ya bikapo kumi na mbili inayala na bipande ya samaki. 44 Na balikwa elftano ya batu benye bali kula ile bipande ya samaki na mikate . 45 Kwaraka akambiya banafunzi ya bapande ndaniya mashua dju baende fasi ingine, ku Bethsaida , wakati aliwa na sambaisha makutano. 46 Wakati balienda, akaenda ku mulima djuya kuomba . 47 Magaribi ikafika na mashwa ilikwa kati kati ya mayi na alikwa shini ye peke 48 Na aliba ana kama balikwa na matatizo ya ku simama dju mbele yabo kuli kwa mpepeyo munene. Karibu na asubuyi baka muona iko natembeya yulu ya mayi, na akapenda ku pita karibu yabo. 49 Lakini sa bali muona iko motembeya yulu ya mayi, baliwaza kama muzimu na baka lala mika . 50 Kwa sababu bali muona baka yala na gonga Moramoya akasema mabo na akabambiya: mukwe na bidi ni miye musiogope. 51 Aka rudiya ndani ya mashwa na bo na mupepeya ika katika . Akashagala sona . 52 Kwa iya aba kuyua bipande tano ina manisha nini; kwa balikwa na akili kidogo 53 Sa balivuka ngambo, bakaenda ku mugini genesareti na baka sima misha mashwa. 54 Wakati balitoka ndani ya mashwa, kwa mbiyo baka muyuwa. 55 Bali kimbiya kuenda ku muleteya bagondja bote benye balikwa ku nyumba, kubitanda, fasi yote yenye balikia kama iko na kuya. 56 Fasi yote yenye alingia ku mugini ku mingini, wala kuma inshi alikwa na weka bagonja bote kuma soko na alikwa na batsha ba guse ku manguo yake na batu ba mingi nbenye bali munguo, bali pona.