Sura 4

1 Arianza kuwa fundisha tena kupembeai ya ba hari. Namakutano mingi bali muljunguluka pembeni yake; nayeye arikuya ndani ya butumbu kati ya bahari mwenye kuikala. nakikundi kia batu kilikuya pembeni ya bahari. 2 Arianza ku bafundisha mafundisho mingi kwa mifano, na arisema hivi mu mafundisho yake. 3 Sikiyeni, mipendaji aritoka na kwanza kupanda mbegu. 4 Na wakati ariakupanda mbegu. Mambego ingine, iri auguka ku pembeni ya njia, na ba ndeke bakayaribisha. 5 Na mbego ingine muma yibwe mule hamukukuwa bulongo mingi. Ilitoka pale lakini hayikukuwa na udongo muzuri. 6 Nawakati jua iretoka, ikakauka na kulunguwa sabata ya kukosewa mizizi. 7 Na mbego ingine ilianguka fazi yamiba. Nakupandishwa kwa miiba na hayikuzala matunda yayote. 8 Na mbeko ingine ilianguka pa bulongo muzuri na inazala matunda na inaongezeka makumi ine kupita ingine makumi sita na ingine mia. 9 Na akisema, «ule anakuya na mashikio, ashikiye». 10 Wa kati arikuya peke yake, na bale barikuya karibu na yeye, pa moja tena na watumishi wake waka muuliza sababu ya mifano. 11 Kisha ariwambiya; «Kwenu mweye munapewa uficho ya ufalme wa Mungu. Na bale ba inje bata semewa kwa mifano. 12 Bana ona, lakini abaone, bana shikiya lakini aba shikiye. Na kama ba narudia kwa Mungu na ata ba hurumia. 13 Na anawambiya: «ju nini hamuelewe hiyi mfano? na muta wez kuelewa mifano ingine?» 14 Mupandaji eko na panda neno. 15 Na ingine ninile irianguka ku pembeni ya njia kule neno bariipanda, hata shetani alikuya ku yitosha neno iripandiwa. 16 Na ingine bari ipanda mu mayibwe, nibale bana shikiya neno kwa wepesi na furaha. 17 Na abana ata na mizizi ndani yao, lakini bana ivumiriya kwa mashiku mfupi. Wakati yamateso ya nguvu sana na kuteseka kwa sababu ya neno ya Mungu abata shimama. 18 Na ingine baripanda katika niiba, barishikiya neno. 19 Lakini masumbufu ya dunia, kudanganiwa kwa makuta, na tamaa ya mamboyabo inawasonga kwa neno ya Mungu, na inashinda kuzala matunda. 20 Na wale bana yipanda pabu longo muzuri. Bana ishikiya neno la Mungu, nabana ipokeya na ina zala matenda ma zuri; wengine makumi tatu, wengine makumi sita nanwengine mia moja. 21 Yesu akabambia: «Unaweza kukoma tala ndani ya nyumba na kuyiweka chini ya kitunga, ao chini ya kitanda, naulite kwa ndani, nakuiweka juu ya meza». 22 Hakuna kitu kyote kya kufichama ambacho akita weza kujulikana geupe, na hakuna mabo ya kufichama hayitaweza kutokeya wazi? 23 Na mwenye kuya nasikiyo asikiye. 24 Akabambia «Mukalamuke, kwa kipimo kile muko na pimana noyo njo ile ata mipimiya. 25 Ule eko nayo ata pokea kupita, naule hana na yo batamutosha yote ile ekonayo. 26 Ako bambia: «Ufalme wa Mungu unafwanana na mutu mwenye kupanda mbeyo ku bulongo». 27 Usiku analala, na muchana analamuka, na mbego ika toka na kunea muzuri. 28 Na dunia iritosha matunda peke yayo: kisha ina tosha miti, kisha maua na miba. 29 Wakati mbego inaivya inatosha na kuteneza ju kuvuna inakuya karibu. 30 Akabaambiya : « Tulinganishe ufalume wa Mungu na kitu kani? kubambiya?» 31 Nikama mbego ya mutarde, bariipanda ya kiloko sana kuliko mbego ya dunia yote. 32 Kisha kuyipanda ili komeya kupita kwa kuya mukubwa kushinda miiti ya shamba kwa sababu wa ndege baweke bisangala kwa ile muti 33 Na mingi ya mifano aribafundisha, ariwasemea neno sababu bakuye benye kusikiya. 34 Na aribambia pasipo mifano, wakati alikuya ye moya, aribaelezea ba nafunzi bake. 35 Ile siku mangaribi inafika, akabambia hivi: «tuirike ngambo ingine». 36 Kisha kinkundji ya wana funzi barienda na Bwana Yesu kwa sababu barikuya tayari ndani ya butumbu. Butumbu mingi ilikuya pale. 37 Na wakati pepo mukubwa irishimama na mayi ikaa tomboka. 38 Lakini Yesu arikuwa wa kulala kisha bakamu sha, bakisema, mwalimu tuna kuya muhatari. 39 Na akalamuka, akanyamazisha pepo, akasema na bahari ikuye kimia na pepo ika nyamaza nakukakuya amani kabisa. 40 Akasema nabo kwanini muko naogopa? Kwa nini muna imani kidogo? 41 Baka ogopa sana na bakasema babenyewe huyu ni mutu wana muna gani? Ata pepo ya bahari ina mutii?