Sura 3

1 Ali ingiyatena ku synagoga na kule kuli kwa mutu wa mikono ya kukauka. 2 Batu bengine balikuwa na kumwagalia kwa akili dju ya kwana kama anaweza ku baponesha siku ya sabbatu. Dju yaku mutshonge 3 yesu akamwambiye mutu wa mikonoya ku kauka ivi: " lamuka na simama apa kati kati". 4 Kicha, Yesu akambiya batu: " ina rusiwa ku fanya mujuri wala ma baya siku ya sababu ku poneshe maisha wala kuua?". lakini baka bakiya kinua 5 akabangalia kwa kisilani; ma kuhuzunika kwa sababu ya roho yabo na aka mbiya mutu: " nyorasha mu komo yako" aka nyorasha na yesu akamuponesha. 6 Mara moya , Bafarisayo bakatoka inye baka pana shauri na Herodia baka fanya mapatano mu baya kwa sababu bamuua 7 Kisha Yesuna bana funzi yake baka enda ku mayi na batu ba mingi ku to keya galilaya na ku yuda , 8 na ku Yerusalemu, na kutoka idu ma ya na mbele ya Yorodani na kuba jirani ya Tiro na Sidoni; batu ba mingi, sabali yuwa benye ilikuwa na fanya baka ku ya kwake . 9 Aka ambiya banafunzi yake ba jenge mutu mbu dju yake , dju ya batu mingi, dju isi katike. 10 Dju alikwa na ponasha batu nba bamingi, mpaka gisi bote benye balikwa na malasi baka penda ku mu sogeleya dju ba mu guse. 11 Wa kati mapepo mubaya ili baona, balianguka chini pempeni yake nakulala mika, " uko mutoto wa Mungu". 12 Aka bambiya basi mufamilishe 13 Aka ponda yulu ya mulima ,na aka baita benye ali penda , na ba kuye karibu yake . 14 Ata tshaguwa kumu na mbili ( benye alikwa na ita mutanu) dju ba ku we na ye na abatu me kubiri. 15 Na uwezo ya kufuza pepo mubaya. 16 Ata tshagu kumi na mbili: Simoni, muenye alipatiya jina ya Petro; 17 Yakobo mutoto wa zebedayo na Yowane ndugu wa Yakobo muenye alimupatiya jina ya bonagesi, yenye ina manicha mutoto wa radi. 18 Na Andrea, Filipo, Barholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mutoto wa Alfayo, Thadyo Simoni mutu wa Kanaana. 19 Na Yuda Iskarisote mwenye ali mupana (ku mujicha) 20 Kisha akaenda ku nyumba, na kikundi kia batu ( batu mingi) bali kutuna na bakaenda pa moya tena . mpaka aba ku weza na kukula tshakula. 21 Wa kati familia ya ke ili na sikiya iyi habari, bakaenda ku mukamata, dju alisema : "Ana akili" . 22 Benye banandi kaka ( waandishi) benye balibalitoka Yerusalemu baka sema : " bana mu pakala ma pepo kwa beelze buli na ni kwa mtawala wa mapepo mubaya 23 Yesu akaba ita karibu yake na akaba mbiya ku mifano : " na munagani shetani anaweza ana weza kufukuza shetani? 24 Kama ufalme moya ina jigabula ayo peke, ufalme moya ina jigabula ayo peke ufalme iyi aiwezi kusima matena. 25 Kama inagabuliwa yenyewe aiwezi kusima ma matena 26 Kama shetani ana jisima mia ye mue nye we, ata jigabula , ata simmama na ata malizika(ataisha). 27 Lakini akuna ata mutu moya mwenye ana weza kuingiya ku nyumba ya mutu wa nguvu kwanza 28 Niko na bahambiya bya kuli sasa : " Zambi yote ya batu bata isameya pamoya na masemo mabaya. 29 Lakini maseno mubaya dju ya roho muta katifu abata isa meya na ule mutu ata kwa na Zambi ya milele . 30 Yesu aka ba mbiya dju balikwa na sema: " iko na pepo mubaya " 31 Kisha maman na ba ndugu ya bali kuya na bali simama inje ,baka tuma mutu dju aende kumu muita. 32 Kikundi ya batu balikala karibu yeka na baka mwa mbiya: " maman yako na ba ndugu ya biko inje na bana kutafuta". 33 Yesu akabaka ji biya : " nani maman yangu na ba ndungu ya ngu" ? 34 Sa alimaliza kwanga liya benye balikwa na muzunguluka, aka sema: " muo ngaliye ! muone maman yangu na bandugu ya ngu . 35 Ulewote mwenye ata fanya mopenzi ya Mungu, ule mutu ndjo ndugu yangu ndjo dada yango na ndjo maman ya ngu"