Sura 2

1 Kuka pita masiku kidogo, Yesu akarudiya Kapernaumu, batu bote baka juwa kama eko ndani ya nyumba. 2 Batu mingi sana bali kuwa ba ki kusa nyika pale, aku kuwa tena fasi, tii na mbele ya mulango, na Yesu a ka anja hubiri. 3 Na kuka kuya ki kundi kya batu na mugonjwa wakulekeya mikulu; batu ine balikuwa ba ki mubeba. 4 Ba kakuta batu ba likuwa bamingi sana, na aku kuwa njiya ya kuingiya na mogonjwa, wala kumusogeleya, Yesu, wa ka tosha linjanja yulu ya nyumba, na ba ka mushusha mugonjwa na kitanda kyake pale Yesu a li kuwa wa ku sibama ndani, kati kati ya batu. 5 Wa kati Yesu ali ona bukubusa ya imani yabo, aka mwambi ya mugonjwa mwenye kulala pa kitanda , "mu toto yangu, jambi ya ko ina samehewe". 6 Lakini ba handikaji ba ka shangala sana ndani ya ma roho yabo. 7 Ba ka anja kusema, mutu ana weja kutosha mutu mwingine jambi? uyu ana ona jarawu Mungu, bila Mungu kuko tena mutu ata weja kuhurumiya batu jambi? 8 Yesu aka juwa mawajo iliku wa ndani ya maroho yabo, aka sema, "juu ya nini muna waja ivi ndani ya maroho yenu? 9 Mambo ya nguvu iko wapi? kama ni ka sema na mutu, jambi yako ina malijika, na kusema na mutu si bama! kamata kitanda kyako kwenda? 10 juu bajuwe kama mutoto wa mutu eko na uwejo yaku samehe batu jambi katika Duniya akasema na mugonjwa wa kulekeya mikulu. 11 Na sema na weye: simama, beba kitanda kyako, rudiya ku nyumba yako; 12 Mara moja mugonjwa aka sibama na aka kamata kitanda kyake akatoka inje ya nyumba mbele ya batu bote, na batu ba kashangala sana, na kisha batu bote baka shukuru Mungu, na ba kasema, bado atuyaonaka mambo kama iyi. 13 Yesu aka kwenda tena kutembeya pembeni ya kijiba ya mayi, na batu bamingi bali mufwata, aka anja kuwa hubiri. 14 Wakati wa kupita kwake aka muona levi mutoto wa Alfayo wa kwikala pa bureau ya ba tu ba kulipisha kodi na aka mwambiye "unifwate", aka si bama na aka mufwata. 15 Wakati Yesu ba ka anja kula chakula munyumba ya Levi, batu ya kulipisha kodi, na ba pagano ba mingi balikuwa na kula pa moja na Yesu na bana funji bake, batu balikuwa ba mingi ba kumu fwata. 16 Wa kati ba andi kayi bale bali kwisa bafarisayo, baka ona kama Yesu eko na kula pamoja na ba pagano piye na batu ya kulipisha kodi, baka sema na bana funji bake, juu ya nini Yesu eko na kula pa moja na ba kulipisha kodi tena na ba pagano? 17 Wa kati Yesu aka basiya na aka ba ambiya, kama mutu ana mugonjwa, ata weja ku tafuta munganga, mupaka mugonjwa njoo ata ita munganga, mujuwe kama mimi sikuya kutafuta batu bajuri, kwa la kini nilikuya ku tafuta batu babaya. 18 Batu baka mulija Yesu kwa sababu kani banafunji ya Yohane na bafarisayo ba likuwa ba kifunga chakula, la kini banafunji bako haba fungake? 19 Yesu aka bajibu, kama bwana mwenye ndowa, ana ita batu ku feti ya ndowa, bale batu bana weja kukatala kula chakula? na wakati bwana mwenye ndowa eko pamoja nabo? mujuwe kama wakati bwana mwenye ndowa eko pale, batu ya feti abaweji kulala na njala. 20 Laki masiku ya mbele kama bwana mwenye feti ya ndowa ana kwenda mbali nabo, nabo ba tafunga chakula, 21 Hakuna mutu ata weja kubeba kila ka yanguo ya mupya na aba ndike kunguwo ya jamani, kila ka ya nguo ya jamani na kilaka kipya kitabanduka. 22 Hakuna mutu ata moja ata weja kubeba pombe ya butamu na kutiya ayo muma chupa ya jamani, pombe ya makali ita pasula chupa ya jamani na uta poteja chupa na pombe, weka pombe mupya ya butamu muma chupa ya mupya. 23 siku ya Mungu, Yesu aka pita na bana funji yake ku ma shamba ya ngano, bana funji bake ba ka anja kuchu ma ngano. 24 Na bafarisayo ba ka mwambiya, angaliya, bambo mubaya bana funji bako beko na tenda leo siku ya Mungu, bana vunja sheriya ya siku ya Mungu? 25 Yesu aka anja kubajibu, hamu kusoma mambo mfalme Davida ali tenda wakati ali kamatiwa na njala, yeye na batu bake bote? 26 Na muna alingiya kateka nyumba ya Mungu, wa kati Abyatari alikuwa mu kubwa wa kanisa, Davida ali beba chakula ndani ya kanisa na sheriya ya Mungu ili kataja kabisa, mutu wote aweji kula chakula ya kutole wa ndani ya kanisa, mpaka bachungaji ya kanisa, lakini Davida ali kula na akapatia batu bake bote? 27 Yesu aka sema, siku ya Mungu ili fanyijiwa juu ya mutu, la kini mutu aku fanyijiwa juu ya siku ya Mungu. 28 Muja we kama mutoto wa mutu ni mu kubwa kupita siku ya Mungu.