sura 1

1 Hiyi ni nwanzo wa injili ya Yesu-Kristu, mutoto wa Mungu. 2 Kufwatana na kitabu iliandeka nabii Isaya: « Angaliria, mina matuma mupasha habari kwako sababu ya ku watengenezea njia zao. 3 Nakulikuya saute ya mutu moya mu pori ilianza kulalamika:"mutengeze njia ya mafalme; na muyi nyoloshe ma njia.» 4 Yohane aliubiri katika pori aliba batisa ku ubatizo ya kutubu zambi na kuomba usama. 5 Na iuchi ya ba yuda na majama ya yerusalema walikuya mbele yake. Na bari ba batisa kwake ye ye mumutone ya yondani, kwa kutubu makosa zao. 6 Yohane alivala nkochi ilikuya na manyonya ya mpunda na arwala mushipi ya ngoyi mukifuno yake na arianza kuria ba mpanyo na kunua ya mu pori. 7 Ariwa hubirina kusema: « ule eko nakuya ku mukongo yangu, ekona nguvu ya kunishindiya, na mimi sistahili kwa kukujama ju yakufungula nkamba ya bilato yake. 8 Namina mibatisa kwa maji, lakini yeye ata mi batisa batisa kwa roho mutakatifu. 9 Na kwa masitu ile Yesu arikuya ku nazareti na ku golilaya, aribatizwa kupitiya yahone ndani ya mutoni wa yordani. 10 Sawa vile Yesu alikoto mu mutoni na ariona mbungu kufunguliwa na roho mutakatifu vinushukiya jiwa. 11 Na sauti ya nguvu ikatoka kumbingu na kusema:« Huya ni mwana wangu mupenda na anani furakiya». 12 Kisha roho mutakitifu vi musukuma kumupe leka mupori. 13 Na alikuya mupori masiku makumi ine, na kujaribiwa. Na arikuya pamoja na wa nyama wa mupori, na wa malaika wa ku muchunga. 14 Kisha yohane barimufunga, na yesu aringiya mu golilaya na kutangaza habari ya injili ya Mungi. 15 Na arisena:« wakati inaeneya na ufalme wa Mungu iko karibu Mutubu na mu amini injile ». 16 Na aripata pembeni ya bahari ya galilaye, na armaona simoni na Andrea nduku yake ya simoni, wa katuya makila ndani ya bahari, nabarikuya batu ya kuloba samaki. 17 Yesu akawambiya:« kuyeni muni fwate na mita mifwanya kuwa walobaji wa watu». 18 Na wakati ile, wariacha makila na kumufwata. 19 Wakati Yesu alipita kiloko kwa mbori, na arimu ana yakobo Yakobo mwana wa zebedayo nakisha yake alimuona Yohane nduku yake. 20 Kisha aribayita na bari mwacha baba yabo zebedayo ndani ya muntumbu na ba fwanya yake. kisha babarimufwata. 21 Na walifika muji wa kapernaumu wakati ya sabato, Yesu arienda kwingiya mu sinagogi na arianza kufundasha. 22 Barianza kumushnga kwa mafundisho, na aribafundisha sawa mumoja ule arikuya na mamlaka apana sawa benye bananjikaka. 23 Nawakati ile kurikuya mutu moja mu sinagogi arikuya mapepo mubaya, alianza kulalamika. 24 Naku sema « t uko uka namambo kaninaweye, Yesu wa nazareti? naunaluya kutu haribu? Na juwa vile uko. roho mutakatifu wa Mungu!» 25 Yesu auamu tosha ma mpepo muchafu nakusema«munya maze kima na mutoke!». 26 Na mampepo mubaya irimutupa chini na iritoka yote na kulalamika kwa saute ya yulu. 27 Na batu bari shanga na bariulizana mu moja kwa mumoja«Hiyi ni nin? mafundisho ya sasa na mamulaka? na ana amurisha ma mpepo muchafu na ika mutii!». 28 Na habari ike sambelala jimbo yote ya galilaya. 29 Na kisha kutoka kusinagogi, waliingi ya munyunta ya simoni na Andrea, barichangana tena na yakibo na yohone. 30 Sasa mukowa simoni arilala, arikuwa mugonjwa wa homa, bakisema ju yake na kumwambiya Yesu. 31 Kisha arikuya, na magonjua ya maungu moto arisha na aka wa saidiya chakula. 32 Kisha mangaribi jua iriingia, baka mubetea bale bote barikuya na magonjua mbarimbari na benje kushikwa na mapepo muchafu. 33 Migini yote ilichangana pa mulango. 34 Aripoponyesha bate barikuya na mago ujua mingi na kufukuza mapepo muchafu. 35 Aulamuka busubuyi sana wakati ya ka bushiku kidogo; atitokama na arienda fazi ya ye moya ku omba. 36 Simoni na bate arikuyanabo walimutafuta. 37 Barimukuta na bari mwambiya:«watu wote wanakutatu» 38 Na anasema:«Tewendeni fazi ingine, inje ya vijiji inakuya ya kanda kanda kusudi nipate kuhubiri huko nako Njo kwama nakuya apa » 39 rienda kuhubiri kwa galilaya muzima, kuhubiri tena mu masinagogi yao, nakutosha mapepo muchafu 40 Na mugonja wa utama moja arikuya kwake. kumuomba ;Na kumupikia makumwambiya:«Kama utaya penda utaweza kunitunza niwe safi» . 41 Arimusikiriya huruma, Yesu arinyolosha mukono wake na arimugusa, na kusema:«nanitaka uwe safi». 42 Na pale pale ugonjwa wa ukoma ulitoka na aka kuya safi. 43 Yesu ana musopesha na kumuondowa. 44 Ana muonesha: Angoria usimwambiye mutu ata neno yoyote, lakini ukajioneka nishe mbele ya kuhani, na ulete sadaka ya utakasa kama vile musa aliongoza, sawa ushuhuda yabo». 45 Lakini aritoka na akaanga kubambiya kwakila mu majo nakupaza saute ya neno la Mungu sawa vile Yesu hakupasha kuingiya kwa wepesi kwa kila mjini. kisha akabakiya inje kukipande ye yeye peke na watu walikuya kwa vipande vyote.