Sura ya 2

1 Tumawaomba sasa wandugu kushusu kwuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukutana naye, 2 Nusiwe wenye kuangaisha na mawajo yenu ndani musi changonyikiwe ya mioyo yenu, na masemi ata na barua yetu tuliyowandikiya kusema siku la Bwana ilisha kuya. 3 Mutu ata moja asiwadanganya. Haitakuya mupaka siku watu watachoka neno la Bwana pia mudanganyifu na muharibifu aonekane, 4 Niyeye anpinga yote inayoitua Mungu aoyote yenye kuabudiwa na sasa anaikala mu nyumba ya Mungu na kuonekana kama yeye ni Mungu. 5 Hamukumbuke namna niliwambiaka wakati nilikuwa kwenu? 6 Sasa munajuwa nikitu gani inawajuwiya, kusudi aonyeshwe kwa saa inayostahili. 7 Sababu kungali mutu mwenye anaijuia kaji ya waribifu ikotayari mpaka sasa na lakini mpaka ata toshewe mu nja. 8 Ni pale yule anakatala kutii ataonyeshwa waji, Bwana Yesu Kristo ata muhukumu na pema ya kimjua yake. Wakati ya kuya kua Bwana, atamutosha mbele yake. 9 Kuya kua mukaribifu itanekana na kaji ngufu shetani, na alama, na miujiga, 10 Na bongo yake yote Hii itakuwa kua bote benye bana semaka bongo sababu hawaku pokea upendo wa kweli kusudi baokoke. 11 Juu ya ile, Mungu ana waongaja kwa njia ya upotevu, kusudi baendelee kuitika maneno ya bongo. 12 Malipo mabaya ya nikusema, bale benye balikatala kwamini kweli na baka furahi kubakia mu nja ya upotevu, watasombikubakia shua. 13 Lakini wandugu wapenji tu naendelea kushukuru Mungu sana juu ya neema katika mapendo ya Bwana, sababu Mungu aliwachaguwa mukuwe matunda ya kwanja ya uokovu ndani ya kusafisha na roho mutakatifu na muamini ile kweli. 14 Ile njo maana aliwaita kupitia ma hu biri yetu katiaka utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo, 15 Ju ya ile wandugu, musimame na ngufu mukamate ile desturi tuli wa fundishakana ma shauri yetu tuliwandikia kwa kinywa na kwa barua. 16 Sasa, kuona kwamba Bwana wetu Yesu Kristo mwnyewe, na Mungu baba yetu, muenye alitupendakana kutupatiya matumaini ya milele, na uhakika kwa mambo yatakayo kuja kwa neema. 17 Afariji na kuimarisha mioyo yenu katika matendo mema na masemi majuri.