Sura ya 3

1 Na sasa wa ndugu mutu ambee kusudi tuhubiri enjile ya bwa wetu Yesu kristo na iende haraka, na kipata sifa. 2 Mutu ombee kusudi maneno tuko na hubiri iokoe watu wenye kukisa imani tuko na uhakika kama mulifanya na muna endilea ku fanya byenye tuli ba fundishaka. 3 Lakini Bwana ni mwominifu, ata basimamisha, na kubachunga. musishirikiane watu wabaya. 4 Tuku na uhakika katika Bwana kama muko na endelea kufanya byenye tuli baachiaka kama amri. 5 Bwana aongoje roho jenu katika upendo wa Mungu na uvumilivu wa Yesu Kristo. 6 Sasa wa ndugu tuna wapa amuri kwa juna ya Bwana wetu Yesu Kristo musijitie pamoja na wavivu wenye wan fanya byenye nane na mafundisho ile tu mulipataka kwetu. 7 Sababu nyipeke muna jua kama ni yo maana kuigo tabia jetu, sababu hatuku ishikwenu kama wakosa adabu. 8 Ile wakati tuli kua kwenu hatuku kwa mujigo kwenu kwa chakula lakini tuli tumika na kuku na kula kwa jasho yetu hata kama ili kua vigumu. 9 Kama tuliji juija haiko kwa ku shindwa lakini tuli penda kwa mufano kwa watu. 10 Ile wakati tuli kua kwenu, tuli wa achia amri kama ule mwenye hapendi kutumika, asikule. 11 Kwa sababu bali twambia kama kuko benye haba pendi kutumika lakini ba na ji tua mu ku sema sema ma neno ya kuchanganyikesha watu. 12 Sababu ya ile, bale batu ba vile, tuna ba shauri batumike na mikono ya bo njo ba pate chakula. 13 Lakini nyie wa ndugu, musi choke na kufanya majuri na haki. 14 Kama mutu haitike maneno yenye tuna bandikia mwa hii barua, mu mwache na musi mushiri kusudi apale haye. 15 Lakini pia musi muone kama adui yenu, mumupe angolisho kama ndugu. 16 Acha Bwana mwenyewe awapatia amani na aba saidie katika mambo yote. 17 Miye Paulo nina buandiku na mukono yango kusudi ni salimi. 18 Amani na neema ya Bwana we tu Yesu Kristo ibakie na nyie.