1 Paulo, Sivano, na Timoteo, kwa kanisa ya Mungu Baba na bwana Yesu Kristo kule Tesalonika. 2 Neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu-Kristo iwe kuenu wote. 3 Tunashukuru Mungu kila, siku kwa jili yenu. Sababu, ile ni kweli munandelua kukomala katika imani na katika mapendo kila mutu kwa mwenjake. 4 Hivi, tunashuhudiaka mu makanisa zote ja Mungu tukiwaelaza kama muko wa vimilivu na imani yenu inasi mama hata muko katika magumu. 5 Ni alama ya kuonysha waji vile Mungu anaamua. Shaba nikusema kuwotayari katika ufalme wa Mungu mueyne mulitesekeaka. 6 Ni kweli, benye banabatesaka nyei, 7 Mungu ana bapatiya malipiji, na bengine benye banakuwaka na magumu sawa nyie, Mungu anawa tulijaka moyo. Itafanyika siku Bwana wetu Yesu Kristo atarudia na bamalaika yake katika utukufu. 8 Njo, atatupa katika moto benyewe abakumua mini Mungu, na balikala Engili ya Bwana wetu Yesu Kristo. ile njo kisasi cha Mungu. 9 Watateswa na kuharibishua milele mbali na utukufu wa nguvu ya Bwana. 10 Ataifanya wakati atakuya katika utukufa mbele ya batu bote benyewe balimuaminiaka, sababu muliamini ushuda wetu. 11 Ju ya ile, tuna waombea kila siku kusudi siku Mungu wetu awahesabu kuwa munastahili (munaenea) katika muito wake. tunaomba atimije na nguvu yake mahitaji yenu ya kufanya matendo majiri na kaji jote ja imani. 12 Tunaomba hivi kusudi, kwa ajili yenu ( kua juu yenu), jina la Bwana Yesu-Kristo lisifiwe, na nyie musifiwe ndani yake kwa mema ya Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo.