1 Uba ku mbushe ba kuwe batara tibu kwa viongozi na bakubwa juu ba batii kishsa bakuwe na tabia yote muzuri. 2 Ubakumbushe basi lahani mutu, ba ache kugombana, basi onee mutu mwengine lakini kuji shusha kwabo iho nekane na batu yote. 3 Kumbi na ile wakati siye tulikuwa na kiburi bila kutii. Tulikuwa mbali na tabio ya kutufurahisha, tu likwa na uba mubaya. Bila shauri na kuchikiana. 4 Wakati uzuri wa Mungu mwokozi, alishisha upendo kwa watu. 5 Njoo ali tu okowa, ahiko juu ya matendo yetu muzuri enye tulifanya, basi ni sababu ya uruma yake njoo alitu okowa hupitia ubatizo ya kuzaliwa n roho mutakatifu ina turudisha upia. 6 Mungu alitujaza na uwepo wa roho mutakatifu kupitia Yesu Kristo imwokozi wetu. 7 Aliifanya sababu tu weze kwa nehema, tu kuwe kizazi chke kupitia imani ya uzima yamilele. 8 hii habari iko na uwezo ya imani, inaomba usema na imani juu ya ilhi maneno, sababu bale benye bato amini Mungu bata ji toa na kukua na tabia muzuri mbele ya bo, iyi maneno iko muzuri na razima ku batu bote. 9 Lakini mu epoke ubishi ya bazimu ya kizazi yenye maleta ku gombana na chi ki kufatana na sheria ni bitu enye ai muzuri na aina faida. 10 Toka pembeni ya bale benye biko na kabula batu nani yenu ku angalisho ya kwanza na ya pili. 11 Ju wa kama mutu ule alijitosha ku njia muzuri ana jii ngiza ndani ya zambi njoo ana ji ukumu ye peke. 12 Ginsi na taka kuku tuma kwa Artemasa ao Tychika uta rudi araka ku nikuta ku Nikopolia kwenye nalipita ku kipwa. 13 Uta mu tuma Zona mwenye ana jua sheria pamoja na Apoloso juu nisi kose kitu. 14 Batu yetu ban pashwa kukuwa na tabia muzuri ya ku saida ya muhimu juu basi kauke. 15 bote benye biko na niye bana basalimia na uzalimie bote benye bantupenda kwa imani neheema ya Mungu ikuwe na batu yote.