1 Kumbi weye sema ginzi inahistari ku adibisha muzuri. 2 Ina omba bazee bakuwe na upole, baesimiwa, kujazwa na imani ndani ya mapendo pia juudi na mawazo safi. 3 Vile vile ba mama bakubwa ina baomba baishi kama batu ya heshima, basikuwe batu ya bure na kujipana kua ina baomba bakue na mafundisho muzuri. 4 Juu ya kufundisha ba mama ya bunyumba baweze kupenda babwana na batoto yabo. 5 Baba fundishe bakwe na akili pia usafi ya kutengeneza ma nyumba yabo, bikue batii mbele ya babwana yabo, ina baomba batii ile mambo juu neno la Mungu isitukaniwe. 6 Vile vile inaomba kusaidia vijana juu nakuwe na akili. 7 Ku bitu yote; kama uko na fundisha ukuwe alama ya tabia muzuri na bidii pia utii ionekane kwabo. 8 Useme habari safi bila ku kwaza, juu mwenye ata isimamia apte aya sababu akuna mabaya ndani. 9 Mutu wakazi ana hesimu Sultani wake kubitu yote, hata musilikisha lakini ata mufuraisha kila wakati. 10 Hata iba lakini atafanya alama ya Roho muzuri kwa yote inaleta heshima ya mafundisho juu ya Mungu mwokozi wetu. 11 Sababu neema ya Mungu inajionesha kwa wqatu wote. 12 Ana tufanya kwa kukataa zambi na uba ya dunia; anatufanya kuishi na akili ya kusimama imara na matendo muzuri ku hii wakati. 13 Wakati tuna subiri hupata baraka ya imani yetu kuja ya Mungu na mwokozi wetu Yesu Kristu. 14 Yesu ye mwenyewe alijitowa juu ya kutosha ndani ya uchafu yote hiisha aka tuosha juu yake sababu tukue batu ya muhimu benye biko na uba yatabia safi. 15 Sema na ubape moyo, tena simamiya na ukubwa yako kwa mutu ule ataizarau.