Sura 1

1 Paulo mtumishe wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo kwa imani alio chaguliwa na Mungu na ujuaji wa ukweli jeriji kupatana na kueshimu mareno ya Mungu. 2 Kusadiki yenyi kuwa juu ya kitumaini ya maisha ya milele ya Mungu, huyu asemake wongo, aliwaagake tokea zamani. 3 Wakate mwengine alionyeshe neno lake waziwazi kwa mahubiri alinipa nihubiri . Nilipashua kuifanya kua amri ya Mungu mtobozi wetu. 4 Tito mtoto wangu kabisa bati ya imani. Neema na kimia kutoka kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo mkombozi wetu. 5 Kwa sababu hii nilikuacha Creta kusudi utie kwa usawa vitu iyenye havijamalizaka na utie wazee kati ja kila fimbo kufwatana na mafundisho yangu. 6 Mzee anapaswa kuwa sawa mwenye mke mofa, watoto ua kamitifu, wengi hawasitakiwe kuwa wakalina wakosa adabu. 7 Inafaa Mzee kama vile mtu wa akila wa Mungu, asiwe mwenyi makosa, hapashwe kwa wa kusema sana, pia mwendo mtaya. Hapashwe kuwa mtu wa kikasika na kujipana kwa kujua pombe, hasiwe mtu wakutomboka na wa tamaa. 8 Lakini anapashua mtu wa kopokea wala rafiki ya watu wazuri arapashwa kuwa mwepesi, sawa mtakatifu na mwenyi kufangalia. 9 Anapashwa kuambatana na neno njema vile ilifundishwa. Awe pia mtu wa kusuma wengine ku mafundisho mazuri na kuwamakia wenyi ubishe. 10 Kwani kuko watambozi wengi, kati ya wenyi walikatua kumbeni. Maneno yao haina maana. Huapokee na wanaongoza vyana ku njio mbaya. 11 Ni lazima kuwasimamisha. Wanafundisha yenyi hastari, fuu ya fahida ya haya na wanaaribisha mafamaa nzima. 12 Moja katiyao, mtu wa lazima alisema. «Kreto» siku zote muongo, mubaya na nyama ya hatari, Tumbo isiyafanya kazi. 13 Ni ushuida wa kweli, anakaripia kabisa wawe na imani 14 Muwe na angalisho juu mapepo ya wayuda ao ku amri za watu wenyi kutoka kati ja wewili. 15 Wenyi kuwa safi yote ni safi. Lakini hakura kitu kisafi kwa wenyi wabaya na wasiosadiki kwani mawazo yao na kitumaini ilikwa vibaya. 16 Wanafanya kazi ya kujua Mungu, lakini vitendo vyao vinawafulisha, wako wabaya na warakosa kutu, na hawewezi kufanya vitendo vizuri.