1 Simoni Petro alitumwa na Yesu Kristo kwa bale benye balipokea imani yenye biko nayo hamu siye vile tulipata, na ile imani enye ilikwa ndani ya mungu na mwokozi weyu Yesu Kristo. 2 Neema ikwe na niye; kimia iongezeke kupitia ufaamu ya mungu na bwna wetu Yesu. Kupita ndiya ya Mungu tunapata mambo yake yote ya maana juya utakazo wamaisha. 3 Kutoka kwa mungu yule mwenye alituika juya buzuli ya utukufu yake, na nguvu yake. 4 Kwale njia tunapata kitumani sana ya ya malaku. Alifanya vile juya kutufanya watu wa ndani ya mapendo ya Mungu ju tusongembele tukimbiye Nzambi ya uyi dunia. 5 Juya ile mufanye nguvu yenu yenu yote juya kuongeza kwa imani yenu bumutu, na yulu ya bumutu, muongeze mafunzo, ku mafunzo, 6 muongeze kiumungu, kwa kiumungu muongeze undugu. 7 Kupita kwa upendo wa ndungu na kipeta kwa upendo wandugu upendo. 8 Mukifanya ivi nje mutazora matunda mingi ya mapendo ya bandugu juya kuyuwa bwana yetu Yesu Kristo. 9 Lakini yule mutu mwenye mambo iyi yote haîko ya mwenye kufamacho, haone tena mbali na anasabu utakaso wa nzambi yake yote. 10 Ju ya ile, bandugu mufanye nuvu ju ya kukwa na hakita na ju ya uchaguzi yenukama munafanya ile, hamutanguka tena. 11 Kwa ivi njo mulango ya kwibiya mbinguni milele milelekwa bwana Yesu Kristo. 12 Njo kwa maana nitapata wakati ya kubakumbusha mambo iyo, ata kama munajuwa na munakomea ndani ya ukweli. 13 Nawaza nitakuwa na kazi wakati yote ya kuwakumbusha kuwalamusha na kuwaacha ndani ya angalisho. 14 Kwa sababu najuwa nitabaacha kwa mana moya na bwana yetu Yesu Kristo alinionesha. 15 Nitayikaza kwa nguvu kwajili Yesu ju mukumbuku iyi maneno kisha miye kwenda. 16 Hayiko juya kufata manuwo ya bongo enye munashanesha njo tunayulisha nguvu na kukuya na mfalme wetu Yesu Kristo, lakinini sa vile tunamuona na macho yetu benyewe ku kiti yake. 17 Yeye alipita kutoka kwa mungu kunbudiwa na heshima enye ilisema njo mutoto mupenzi wangu mwenye na mupenda sana. 18 Sauti ile sikilikana kutuka mbunguni wakati tulikuwa pamoya na yeye ku mulima mutakatifu. 19 Na suje tuko na neno ya unabii enye muna wezatilia akuli: ni sawa na tala enye kuwaka ndani ya gizo, mpaka gensi butakusha na nyota yasubui itauonekana ndaniya ya roho yenu. 20 Muyuwe kama hakuwa unabii yenye inanidikiwa kwa ya sababu ya kujikumbusha kwa nabii yeye peke. 21 Kwa ju haiko kwa mapenzi ya mwana damu njo unubii ililetewa, lakini kwa roho mutakatifu nja aliongea na Mungu.