Sura 2

1 Batabiri yabongo wali onekana kwa Israeli, ba mwarimu ya bongo batakuya kwenu kwa kufuchana, nabateleka mafundisho ya uwongo nabatamukatala mfalme aliyewanza. Wana haribisha kwa wepesi wao wenyewe. 2 Wengi watafwata mumanjia yao ya kuharibika na kupitia kwao watazaeawu njia ya kweli. 3 Nakwa choyo zao na watawavuta watu wakileta maneno ya uongo kwa usambisha wao haitachelewa, kwa aribisho yao utawafwata. 4 Moana Mungu asikutenganisha wa malaika waliogeuka. Halafu aliwatupa ili wa fungwe nminyororo mpaka hukumu utakapokuja. 5 Wala Mungu haukuuvumilia mataifa ya zamani. Bali alimuonesha Nuhu mwenye wito waki kwakuwa na wenggine saba, wakati wa muvuruko gharika kwa dunia ya zambi. 6 Mungu kama alisambisa Sodoma na Gomora kwa mayini, ni mufana ju ya mazambi masiku itakapokuya. 7 Nakama alimuokola mwenye haki Loti, na alikuwa anasikitika na mifano mubaya hayi kufwata sheriya ya Mungu. 8 Mutu huyu wa haki alikwa nabo pamoja masiku kwa masiku aliteswa nafsi yake kwa ajili ya aliona na alisikia. 9 Na Bwana anajuwa mufano gani ya kuwaokola watu wake wakati ya mateso na mufano ya kwavumilia na kuwa hukumu siku ya mwisho. 10 Na wale wata kuwa munjia wa mwili wa tamazao, nawa hawaopope kuwa hukumu, kwa ku zarau mamulaka. Watu wana munamuna hii katika zambi Zao. hawagope mambo mabaya watukufu. 11 Ingawa malika wana kuwa na uwezo na nguvu kuliko mutu lakini hawawezi kuleta hukumu uao kwa Bwana. 12 Lakini hawa wanyama hawana naakili wametengenezwa kwa uficho ya kukamatua na kuteswa. 13 Bana lumia kwa mazambi yabo yenye bako banafuanya muchana kwa furaha yabo bana yala nabuchafu na mabaya bana furahiya bubaya ya dunia, na bongo yenye inabapendeza naye. 14 Macho yabo yabu yenye mayala nabusharabi nibenye kupenda sana kufuanya zambi banangusha benye kuwa na unani kidogo. Biko na moya watama ya makuta ni watoto benye kulainiwa. 15 Kisha kuacha njia ya kweli na bana fuata njia ya udanganifu ya Balaam mutoto wa Beori, mwenye alikuwa na penda sana makuta ya zambi. 16 Lakini alipata malipizi ju ya zambi yake. Pundu alikuwa bubu na akasema kama vile mutu, akafunga njia ya ba tabitiri. 17 Batu aba bekokama kiziwa maji ya kukauka. Banafanana kama vile mawingu yenye kuzambazwa na pepo kali kwa ajili yao. 18 Masemo yabo niya kujivuna banangusha batu katika inani ju ya tama ya mwili. Mafundisho yabo nikudanganya batu bale benye kubakimbiya katika mabaya. 19 Banambiyaka batu kama mutakuwa na maisha muzuri, na wakati bobenyewe mibafungwa ya zambi. Maana mutu ni mutumwa ya mambo eko na tenda. 20 Kama mutu akisha kutoka kumatendo ya zambi na ku amini Mungu kisha akarudilia tenabubaya, tabiya yake itakuwa tena mubaya kupita ile ya mbele. 21 Inapendezwa kama batu aba abangelijuwa neno la Mungu kuliko kuli fahamu na rudilia tena zambi. 22 Hadisi hiyi inaonesha kama ni bia kweli kubatu aba beko kama imbua akitapika chakula anakirudilia tena, na bana fanana tenana nguruwe kisha kunawa maji na anarudilia tena mupoto poto.