Sura 3

1 Na wakaiti ule, ita leta wafungwa wa Yuda na Yerusalemu, 2 Nitakusanga ma taifa, nanita washusha wote mu bande ya Yosafate, pale nita wasambisha kwa ajili ya Izraeli, taifa langu, uriti wangu walisambarisha katika mataifa, na kugawanya inchi. 3 Walipiga kwa kwa kwa watu wangu, balipana mtoto mwana ume sawa mbaraga, waliuzisha binti ku pombe, na walikungwa. 4 Munani takiya nini Tiro na Sidoni, na nyinyi wote, mutaa ya Wafilistia? Munataka kunilipisha kisasi? Mukipenda nita angusha yote mu kichwa vyenu. 5 Mulikamata feza yangu, zawadi yangu; na yote nilikuwa nayo ya bei ya mu zuri kupita, mulibeba yote mu hekalu zenu. 6 Muli uzisha watoto wa Yuda na Yerusalemu ku batoto ya Yavani, ile wakuwe mbali na kwabo. 7 Tazama, nitawaru disha toka fazi ile muliwauzisha, na nita lipisha kisasi yenu juu ya vichwa yenu. 8 Nitauzisha watoto wenu na binti yenu ku watoto wa Yuda, na wao wataazisha kwa wa Sabeeni, taifa ya mbali; kwa maana Bwana anasema. 9 Mutangaze ihi binti yote katika imataifa! Tayarisheni vita! Mulamushe wa shujaa! Wa karibie, wapande, wa piganaji wote! 10 Mugueze na jembe yenu kuwa mipanga, na nyundo ynu iwe mikuki, muzaifu aseme: Miye nimuhodari! 11 Mafanye mbio, na mukuye, ninyi wote, mataifa ya kandokando na muji kusenye! Pale Ee Bwana, shusha washujaa wako! 12 Ma taifa walamuke, na wapande kule ku bonde ya Yoyafate! Kwa maana nita tawala juu ya ku hukumu mataifa yote ya kandokando. 13 Mukamate mpanga, kwa maana mavuno imeivya! Mukuye, mukanyage, kwa maana kikamulio kinajaa, shimu inajaa sana kwa maana mabaya yao ni mengi! 14 Ni wengi, wengi, ndani ya bonde ya kukumu; kwa maana, siku ya Bwana inakaribia, ndani ya bonde ya hukumu. 15 Juwa na mwezi zita zimika, na ma nyota hazita waka tena 16 Toka sayuni Bwana anakasilika, toka Yerusalemu, banasikiya suti yake, mbigu na dunia bili vurungana, lakini Bwana ni kimbiliya kwa watu wake, ni maficho kwa watoto wa Izraeli. 17 Na mutajuwa ya kama mimi ni Bwana, Mungu wenu, minaikala Sayuni, mima takatifu wageni awatapita ndani tena. 18 Wkati ile, nvinyo itatoka ku milima kama vile mayi, maziwa itatelemuka toka mulima, na kutakuwa maji ndani mabonde ya Yuda; Chem chem itatoka ndani ya nyumba ya Bwana, na itamimia bonde ya Sittim. 19 Misri itakuwa sawa jangwa, Edomu itafanwa kuwa jangwa, sababu ya mabaya walifanyia watoto wa Yuda, wale walimwanga damu yasio na makosa mu inchi yabo. 20 Lakini Yuda itakuwa paka na batu, na Yerusalemu kizazi na kizazi. 21 Nitalipa kisasi y damu ile sejatipisha kisasi bado, na Bwana ataketi ndani ya Sayuni.