Sura 2

1 Mupige baragumu mu sayuni! pigekeni makelele mumulima mtakatifu, na rayiya bote batetemeke! Maana siku ya Bwana inakaribiya. 2 Siku ya giza, siku ya ma wingu na kunguku, kama vile mataifa wenygi benye nguvu, haiya ku waka wna hatakuwaka. 3 Mbele yake kulikuwa moto, nguma yake ulimi wa moto yenyi kuwata ikachoma bitu yote; inchi ilikuwa kama vile chamba ya edeni, sasa inakuwa jangwa. 4 Kwa kubaona ni sawa punda, na wapanda punda waki kimbiya. 5 Ukibasiki ni sawa na kelele ya shari ya vita juu ya milima ana ruka kama vile kambora inayo choma pori na kama vile jeshi ya nguvu inataenda ku vita. 6 Mbele yabo batu balikuwa banatetemeka sura zawo zika badirika. 7 Alijitupa mbiyo sawa wapiganaji, wana panda kuhukuta sawa batu ya vita, kila mtu na njiya yake, bila kutoka mujiya. 8 Habagombaniye, kila mtu alichunga mustari wake. Balikuwa banatembeya bila ku simama. 9 Walipanuwa mu muji, waki pita juu ukuta wanapanda juu ya nyumba, wana ingiliya mu madirisha kama bizi. 10 Udongo matetemeka mbele yawo na mbingu imetetemika yuwa na mwezi imekuwa giza, na nyota haziangaze 11 Sauti ya Bwana imesikilika kwa jeshi lake: sababu kambi yake ni kubwa, benyi kuitumikiya neno yako na bako na uwezo, siku ya Bwana ni kubwa na yenye kuogopesha nani ataizuwiza. 12 Bwana anasema tena lea, munirudiliye na moyo wenu wote. Pamoja na kufunga, kuliya na kuomboleza. 13 Mupasule mioyo yenu, apana manguo, mugeuke kwa Bwana wenu, kwa kuwa yeye ni mwenyi uruma na rehema, si mwepesi wa hasira lakini ni mwengi wa rehema. 14 Nani anajuwa kama hatarudiya na kubadiri sha mawazo. Na kama hata acha baraka nyuma yaka, sadaka na ubani kwa Bwana Mungu wake? 15 Pika baragumu mu sayuni, muite tangaza ma fungu na wite batu bote. 16 Kusanya taifa mufanye mukusanyo ntakatifu, mutkusanye wa wazee, mukusanye batoto ata benyi kunyanya! Bwana arusi atoke mu nyumba yake, na bibi arusi atoke mu chumba yake. 17 Kati ya banaza na mazababu, makohani watumishi wa Bwana, wanaliya, nakusema: Bwana ponesha taifa yako usitufezeheshe, Batu basiseme: Mungu wenu iko wapi? 18 Bwana iko na wivu na inchi yake, na anaepusha taifa yake. 19 Bwana alijibu, akasema kwa taifa yake: angaliya, nitawatumiya ngana na mafesta na mutashiba na sita wafezekesha mbele ya mataifa. 20 Adui wenu wa kasikasini, nita musukuma mbali, nita wafukuza mahali pakavu, ukiwa upande wa bahari ya mashariki, ao nyuma mu bahari ya magaribu, na arufu ya bilonila yake itapanda juu na arufu ya kuoza itapanda juu, sababu alitenda mambo makubwa. 21 Usiogope, uwe katika furaha na shangwe kwa maana Bwana anatenda maneno makubwa. 22 Nyama ya pori musiogope juu mayani mubichi itaota ndani ya jangwa, sababu miti itazaa matunda na mizabibu itazaa matunda yake. 23 Manyiye watoto wa sayuni, mufurayi na mushangiliye katika yake, na nvula ya kwanza na mwisha ita wanyesheya sawa na mbele. 24 Na azina zitayala na ngano, na vyungu itajaa na nviguo na mafuta. 25 Nitabarudisheya myaka balikula panzi na nzigz na makelili, na majeshi kubwa langu nilitu ibapiganishe. 26 Mutakula na mutashiba na mutasifu jina la Bwana Mungu wenu haitakuwa na wasi wasi. 27 Mutajuwa niko yenu na niko Bwana, na Hakuna mwengine na taifa yangu itabakiya bila wasi-wasi. 28 Nyuma ya pale, nita washushiya roho juu ya watu wote; watoto wanaume na wato wanamuke watatabiri, wazee wataona lota ndoto na vijana wenu bataona maogiro. 29 Vile vile kwa watumishi wangu wanaume nita wamwangiya roho yangu ile masiku. 30 Nitaonesha ma ajabu katika mbingu na katika inchi, damu na nguzo ya moto. 31 Juwa itageuka giza, na mwegi mu damu mbele tufike siku ya Bwana, yenyi kuogopesha. 32 Atakaye ita yina la Bwana ata okoka; okovu itatokeya mulima ya sayuni, na Yerusalemu, kama vile aliyosema Bwana.