1 Neno la Bwana ikamufikiya kwa Yoweli, mtoto wa Pethuel. 2 Sikiliza mane hiyi, wazee! fungula marekiyo, nyinyi wote, wakaaji wa inchi! Maneno ya ivi ili fika wakati wenu, ao wakati ya ba baba yenu? 3 Muambiye ba batoto benu, na watoto wenu waambiye ba batoto yabo, na batoto yabo ba ambiye kizazi kina fata. 4 Mataki ya mapangi yaliyo bakiya nzinge ame ameyikuza, na ile nzinge funza ameyikuka, na mabaki ya funza pa funza ili yobaki madadu yameyikula 5 Mulamukini, walewi, na muliye! nyinyi wate, balewi ya pombe, mulalamike, kwa maana ime enda mbali na vinywa vyenu. 6 Maana taifa imepanda juu ya inchi yangu ya nguvu na uwezo na isiyo na hesabu meno yake ya simba na ubanga. 7 Amearibisha muzabibu yangu, ame menya menya muti maganda, ameyi acha mutupu, na imetupiwa mbali matawi inefanyizi meupe. 8 omboleza sawa bikira anavala gunia juu ya kulia mume wa ujana yake. 9 Sadaka na bunga imepoteya mu nyumba ya Bwana, makuhani, batumishi ya Bwana, beko mu kilio. 10 Shamba ime haribika, inchi iko na sikotoko, sababu nafaka zima aribika, pombe ya mupya inakauka, mafuta inakauka. 11 Walimaji wamepata haya, wakulima viano wanalalamika kwa sababu ya ngano, ka sababu ya shayiri, kwa maana hakyuna navuno mu shamba. 12 Muzabibu umekauka, muti umepunguka mukomamanga, ngazi, mtafa hata miti ya mu shamba imekauka furaha inaishe furaha inaisha katikati ya watoto wa Mungu. 13 Mufunge mukaba na muliye muombaleze batumishi ya mazabahu mujini usiku benyi kuvala ma gunia. Watumishi ya Mungu wangu! Kwa maana sadaka na tambiko zimepoteya dani ya nyumb ya Mungu wenu. 14 Tangazeni kufunga muete watu! mukusanye wazee, wakaaji wa inchi, ndani nyumba, ya Bwana, Mungu wetu na mulalamike kwa bwana. 15 Ah! Siku gani! Kwa maana siku ya Bwana iko karibu. Atakuya sawa ma angamiza kwa mwenye uwezo. 16 Chakula haikutoka mu macho yetu? kucheka na furaha na shanwe haikupoteya mu nyumba ya Bwana wetu? 17 Mbengu zinekauka, gala imebaki mutupu, vibanda vimeharibika ya nafaka imebaka, kwani hatuma ngano kamwe. 18 Sawa vile nyama wana wanalia kwa uzuni ma kundi ya ngombe inafai zika sababu hawana makulisho, na makundi ya kondoo wana teseka. 19 Na kwako mina kuliliya, kwa maana moto inekula malisho ya jungwa, na moto ume lunguza miti yote chamba. 20 Nyama za pori wamelalamika kwako, maana mtoto yamekauka, na moto amelunguza, majani jangwani.