1 Yuda, mutumishi ya Yesu Kristo, nduku ya Yakobo, na bale ba pendua ya Mungu Baba, na mulizi ya Yesu Kristo. 2 Na nehema, na kimia na upendo yake ikuwe na ongezaka. 3 Wapendua na fanya nguvu juu, nia ndikie juu ya ukovu na taka kuya ndika na kubatiya moyo mupgane kabisa juu ya imani ile muabukezi wa ninifu mala moya na wote. 4 Na bingi bana teleza kwa uficho kati yenu ni batu walisa, kuhandiki wa juu ya ukumuni, waza wata pata ukuiju juu ba nazorao Mungu na watenge huza neema yetu ni buchafu na kubisa kama mo kono 5 Sasa, natamani ku waita, (ata kama munua juwa yote) ya kama bwana aliokowa taifa mu Misri, lakini kisha ile aliharibu wote awa kuami. 6 Na wa malaika nao wale awaku chunga atuwa yao ya mamulaka lakini wali acha makao yao (Mungu aliwachunga wafungwa milele, ndani la giza juu ya hukumu ya siku kuu). 7 Ni swa Sodomo na Gomola na miji jirani wakaji towa wenyewe kua uzinifu na wana fuata taama yasio kawaida walionesha kuwa mufano kua ote weko nateswa na moto wa milele. 8 Namuna noya, wale wenye kulota wanatubu miili yao, wanatupila ukubwa na kusema bitu yasio maana juu ya viumbe vya ntukufu. 9 Pamoya malaika Michaeli wakati alimupinga shetani na kufwiya mwili ya Musa, akuweza kusema mabaya juu yake. Lakini alimambia: «Bwana akuhukumu mwenyewe !» 10 Lakini wale wote, wakutu kana wanatukana yote awakushikia. Vi ile inawaharibu. 11 Ole wao ! juu wanatembea mu njia ya Caina na wana jitupa katika makosa ya balaamu ya kupata bitu. Wakaharibuka ndani ya kutomboka ya Corea. 12 Awa ni miamba katika ma feti yenu ya mapendo. Wana furahi bila haya, na wanakula kua kujifurakisha. Ni mawingu pasi pamoya, inabebewana upepo. Ni miiti ya kuleta baridi pasipo mationda inakufua mara mbili, na kutu kuna mizizi. 13 Ni zaruba kali ya bahari, ina chamusha haya yao, ni manyota ina takataka juu ya usiku wa giza ili wekewa milele. 14 Enoki wa saba mu kizazi ya Adamu, anahuburi na kusema: «Angalia, Bwana alikuya na ma elfu na elfu watakatifu wake. 15 Anakuya kwa kuti miza hukumu juu ya dunia yote. Anakuya kushinda wote wabaya sababu ya matendo yao yote ya bure ile wenye zambi wasio amini waliosema juu yake.» 16 Ni watu wana nungunika na kulialiaya, wakakimbiya tamaa zao mubaya. Ni wenye kiburi, juu yaa faida zao, wara kudanganya wengine. 17 Lakini wao, wapendwa, mukumbukeni masemo ile ilisemewa zamani kupitiya mitume wa Bwana Yesu Kristo. Wali waombia: 18 «Ku mwisho ya wakati, kutakuya wenye kuziaki watafwata tamaa zao za mwili.» 19 Watu awa, wanaleta ubaguzi. Ni wa dunia na awana na roho. 20 Lakini ninyi, wapendwa, mulijengeni ninyi wenyewe katika imani takatifu na muombe kua roho mtakatifu. 21 Kaeni katika upendo wa Mungu na muchunge rehema ya Bwana. 22 Muwe wenye rehema, kati ya wale weko lakini mashaka. 23 Muwaponyeshe wangine kua kuwatosha mu moto. kua wengine, muwe na rehema pamoya na kuogopa. muchukiye ata mavazi yenye kuchafiliwa na mwili. 24 Sasa, kua ule anweza kuwaponesha kua kuanguka kuenu na mutembee bila kosa na furaha katika uwepo wa utkufu. 25 Kua yeye pekee, Mungu wa mokozi weu, kupiyiya Yesu Kristo Bwana wehe apokee utukufu heshima, na utawala, na uwezo,