1 Tunapofika kwa kimia kati ya kisanga inahita malta . 2 Watu wapale , walitukupo keya na upenda kutusaidiye, na kuwaki samotu juu tulilo bana na vula baridikali. 3 Na paulo alikuya nakifulushi ya kuni na kutiya kumoto, nyoka moya anaitua kipukusa anatoka juu ya kifuku na ili funga kumukono. 4 Wakatu ya mungini wana mona ile nyama anamufunga kwamuno, wanasemama moyana mwingine , uyu mutu ni muwaji kweli nana atamusaidia na imabaya, namuzi ya Mungu inatuma a ishi tena. 5 Na alitikisa mukono nyoka ananguka kumoto na neno ya mubaya a imukamate. 6 Balitishu nga agoje wala akufe na muna ya gafula, na bakatshunga saa mulefu, akuna mubuya yayote, na bikonaye muziri wana badilisamasemi kusema alikuwa mutu ya Mungu. 7 Basinamazingila pale ilikawa tajili mukubwa jina lake pablio alipokeye naga lama ya siku tatu. 8 Na akafika baba yake na pablo aligonza oma . 9 9Natangu Paulo a naenda kwake anamuombeya na kumutiya mukono na akepona pale, nanyo mayaku ona mamba aya, wakanzi walikua na magonza wa mekuya na wamepona 10 Wakanzi wana mwisimu sana, na tangu tulingiya nasi tunamupatiya ya mana . 11 Nyuma ya miezi tatu, tuna panda masua na iskanda ili kuwa baridi sana nakisanga, alikuwa nafundisa bamapacha. 12 Na nyumu tunakwenda sirikusa na tunahikala pale siku tatu. 13 Tulipana na kufuka na mutaa ya regio nyuma yasiko moya, na mupepe ya kusuni, inakuya tuna fanya siku mbili, na tunai ika mutaa waputoli. 14 Kule tuna kuta banduku, balituta tuhisi nabo siku saba, na namuna tulifika roma. 15 Wanduku wakati walisikia tunasema, walifika kukamata kule limanga ya apias, tatu, Paulo anabaona wapendua anarudisasifa kwa Mungu nakutiya ujasir. 16 Tunafika roma, Paulo alilusiwa kuhisi ye peke na asari ya kumu tshunga. 17 Na nyuma ya masiko tatu, Paulo kusanya watu walikuwa viongozi yakati ya wayuda alialika mukutano, alisema bandaku atasifana vizuri mbele ya taifa na destruri ya baba yetu, sijali fungwa a yelusaleme ku kumikono ya waroma. 18 Wana iluza muzuri wamuru kiniatsha nituke niende juu abanikute na mabaya ata moya bani ukumu nikufe. 19 Laki wayohuda walikatalu ile mupango, nilikuwa na ngufu ya kuyita Cesar, tata siko kama nilikuwa kubeba mahukumu juu ya taifa Yesu. 20 Juu yayo kuko nalomba nani museme, kwa sababu yake ikona israela niko kufunga nakamba ile. 21 Na alisema, atuko nambaruwa ya yunani, ju yako na akana akuya kusema mabaya yako. 22 Tunataka kusikiya mawazo yako kamuna juya ilezeebu inatembe kinyume ya kila mamali. 23 Alikuwa ana tangaza siku juu yake, batu mingi wataifika wata kuwa kasi kusikiya maneno atayaseme mbele ya ufame ya Mungu, alilimba juu ya Yesu na seria ya musa na wanabi kuhaza asubuy tongo mangai libi. 24 Bingina balikubali juu mambo alisema na bingine balekata wali, zalayu 25 Walikosa banaza kubisana waona wao na yanatoka ka juu ya Baba na yisaya. 26 Anasema wenda mbele kizazi nasema naowasikiye kumasikio na basidjuwe mana, bahone matsho basiona kitu. 27 Basi mioyo ya taifa inakuwa mugumu, masiki yabo isitume kusikiliza, na basizwe mioyo kubali kupona. 28 Yuwa kwaza ukovu ya MUngu, inatokana nakusikiya na anapele kakwa mataifa. 29 Wakati wayudea walisiki ya wame toka na kweda, wana ona kupoteya mbele yao 30 Paulo alisi katika makao yake miaka miwili alipokeya wote walikika kumuona na kumufarizi kwake. 31 Na alikuwa kufundisa juu ya ufalme ya Mungu na mambo ya bwa Yesu kristo ku uzasiri yote alifa nya