1 Hivi, Agripa aka ambiya Paulo: «ujiteteye peke yako.» Paul aka nyarosha mkono wake na kuji teteya. 2 Niko na furaha, mufaime agripa, ku samba mambo yangu mbele yako leo kwa mastaki ya wa yuda kwangu. 3 Hasa juu kamilika ku husu ma swali ya ki asiliya wa yuda. Hivi na kuomba uni sikilize vizuri. 4 Ba yuda balijuwa vile nili komala tangu ujana wangu ndani ya inchi yangu na mu Yerusalema. 5 Bali ni juwa tokeya mwanzo na balipaswa kuitika kama nili ishi saw mu Farissayo, dimi yenyi msimamo nguvu kwetu. 6 Hapa sasa na simama ku sambishwa ju nilitafuta ahadi Mungu alipatiya ba baba yetu. 7 Juu hii na ahadi ya ma kabila zetu kumi na mbili zili tumainiya kupata wakati balikuwa baki abudu busiku na mehana. Ni kwa tumaini, mufalme Agripa, njoo ba yuda bananishitaki. 8 Ju ya nini lakuna mutu ndani yenu ana itika kama Mungu ana waza ku fufula wafu? 9 Kwa wakati moja nili waza kama naweza kufanya mambo mingi kuzuwiya jina ya Yesu wa Nazareti. Nili bifanya mu Yerusalemu. 10 Nili tupa baminifu mingi ndani ya gereza, kwa oda ya ma kuhani wakubwa, na wakati bana ba uwa siku kuwa ngambo yabo. 11 Nili ba azibu mara mingi ndani ya ma shirika na nili pima ku bakaza ba mu kufiru mungu nili basirikiya sana na ku ba tesa mpaka mitaa ya sio yetu. 12 Wakati nilikuwa na fanya libi nili kuwa na enda Damasiko niki ruhusiwa na kuhani mkubwa. 13 Ku jiya, saa sita, mufalme niliona mwangaza kutoka mbinguni ili angaza kupita juwa na ika waka iki ni zingira samoja na benzangu ya safari. 14 Wakati tuli anguka chini nika sikiya sauti kuni semeya mu ki hebrania : «Saulo, Saulo kwa nini una nitesa ni nguvu. kwako ku pinga teke mechokoo.» 15 Nika sema: weye ni nani Bwana? Bwana aka jibu: niko Yesu mwenyi una tesa. 16 Sasa simama juu sababu nili kutokeya ni kuku fanya mtumishi na mushuda wa mambo yenyi una juwa sasa juu yangu na yingine niya ku onesha tena. 17 Na nita ku okowa kwa taifa na wa pangono benyi nita kutuma kwabo. 18 Juu ya kufungula macho yabo na kuba tosha mu njiya ya giza baone mwangaza batoke kwenyi nguvu ya shetani ba mujuwe Mungu, juu Mungu aba urumiye zambi na wa pate urizi yenyi na wa patiya kwa wale na weka pembeni kwa imani yangu. 19 Kwa ile mufalme Agripa sita katala ku heshimiya ma ona ya mbingu. 20 Lakini kwa wale wa Damasi ko kwanza, na kisha Yerusalemu mpaka mu Yudeya yote na wa pagano nao nili hubiri ili wa tubu na ku geukiya Mungu, kufanya maendo sawa ya wenyi wana okoka. 21 Njo sababu ba Yuda bali nifunga ndani ya hekalu na kujaribu ku ni uwa. 22 Mpaka sasa Mungu alini saidiya, juu na simama kushudiya kwa watoto na waku bwa wa matauja kwa ile ma nabii na musa wali sema ita fika. 23 Ya kama Kristo ata tesekaka, na ata fufuka wa kwanza katika wafu na kutangaza mwangaza kwa mataifa wa Yuda na wa pagano. 24 Wakati Paulo ali ongeza ku jiteya, Festo aka tomboka. «Paulo uko na bazima, ku juwa kwako ina ku fanya bazimu.» 25 Lakini Paulo aka sema sina bazimu muheshimiwa Festo; likini ni kwa uwezo nina sema hii maneno ya kweli kabisa. 26 Juu mufalme ana juwa kuhusu yale maneno na njo mana nayisema kwa uhuru, kwa juu hakuna kitu chochote yenyi inayo mufichwa; sababu hau ku fanyikwa kwa uficho. 27 Una amini ma nabai, mufalme Agripa? «Na juwa kama una iamini.» 28 Agripa aka mjibu Paulo: unataka kuni vuta muda kidogo na unifanya niwe mu Kristo. 29 Paulo akasema: na omba Mungu iwe kwa muda kidogo wala murefu, isiwe wewe tu lakini kwa wote wanao ni sikiya leo, baku wekama miye lakini bila minyororo ya gereza. 30 kosha mufalme aka simama, liwali na Benike na bale bote baliyikala pamoja nabo. 31 Wakati bali toka mu nyumba ba ka anza ku sema ba moja kwa bengine na baka sema : «Huyu mutu haku fanya kitu yenyi anastahili kufa wala ku fungiwa.» 32 Agripa aka mwambiya Festo: « Huyu mutu angeli fungu liwa kama haku omba msaada kwa kaisara.»