Sura 1

1 Mzee kwa mupendwa Gaius, ule na penda katika kweli. 2 Mpendwa, na kuombeya uendeleye mu bitu na uwe na afya nzwa, kama vile rohoyako ina endeleya. 3 Juu nina furahi sana wakati wandugu wali ku ja na wali shuhudiya ukweli wako, kama vile una tembeya katika kweli. 4 Sina na furaha ingine kubwa kupitahii, kwa kusikiya kama watoto yangu wana tembeya katika kweli. 5 Wa pendwa una tumikisha uaminifu wakati uote una tumika juu ya wa ndugu na wa geni. 6 Wali shuhundiya upendo wako ndani ya kanisa. Una fanya muzuri kubatuma mu safari yabo vile ina pendeza mungu. 7 Sababu ya jina balitoka bila kukamata kitu ya ba pagano. 8 Tuna pashwa ku pokeya batu sawa haba, juu tu ku we natumika fasi moja juu ya kweli. 9 Nili andikiya mkutano, lakini diotrefe, mwenyi ana penda kuwa wa wakwanza ndani yabo, anakatala kutu pokeya. 10 Mana yake kama mina kuya, nita kumbuka kazi ana fanya, namuna ana sema mambo mbaya juu yetu na ma semi ya kutemboka. Siku furahi na kazi zake, hapokeye mwenyewe ba ndungu. Anakataza benyi ban penda kuyi fanya na an ba fukuza ndani ya mkutano. 11 ba pendwa, musi fate ya mubaya, lakini ya muzuri. Mwenye ku fanya mazuri ni wa Mungu; Mwenyi ku fanya ma baya haka ona Mungu. 12 Demetrius alipata ushuhuda wa bote na kwa kweli yeye peke. tu na shuhudiya piya, na muna juwa ka ushuhuda wetu ni wa kweli. 13 Wa kati nili anza ku andika hii baruwa, nili kuwa na mingi ya ku ambiya. Lakini sasa sitaki niyiseme kupitiya baruwa. 14 Na tumainiya kuku ona kwa muda ujao. pale tuta sema uso kwa uso. 15 Na omba Mungu akupe amani na wezetu ban ku salimiya.