Sura ya 1

1 Mama muheshimiwa mchaguliwa na watoto wake wale na penda katika kweli, haiko miye peke lakini na bale bote baliyo juwa kweli; 2 Kwa sababu ya ukweli inakaa ndani yetu yenyi ita kaa na shiye milele. 3 Neema, rehema, amani iwe na nyiye wote kupitiya bwana mungu na Yesu Kristo, mtoto wa baba katika ukweli na upendo. 4 Nafurahi kukutana na wamoja watoto wako wana tembeya katika kweli, kufatana na amri tuliyopokeya kwa baba. 5 Sasa na kuomba mama, siyokwaku ku andikiya amri mpia, lakini ile tulipata tokeya mwanzo, ni ku pendana sisi kwa sisi. 6 Na ile upenda ni kutembeya katika zile amri. 7 Sababu wa danganyifu wengi wa na jitokeza na kuingiya katika dunia, na hawa kubali kama Yesu Kristo alizaliwa kwa mwili. Uyu ni mudanyanyifu na ni mpinga Kristo. 8 Angalisho kweni, ili musi poteze matuta ya kazi zenu, lakini mipokeye mshahara mingi. 9 Yeyote ana enda mbali na haikate mu mafundisho ya Kristo, hana na Mungu. Mwenyyi ana ikala mu mafundisho ya Kristo iko na baba pia na mwana. 10 Kama mutu anakuya kwenu pasipo kweta hii mafundi sho musimupokeye ndani ya nyumba yenu na musi musalimiye. 11 Mwenyi ana musalimiya ana ungana na matendo yake ya zambi. 12 12 Niko na mingi ya ku ba andikiya laki sipendi kuya andika kwa kikartasi na wine. Lakini na tumainiya kuja kwenu naku waambiya uso kwa, ili furaha yenu iwe kubwa. 13 Batoto ya dada yako mchaguliwa wana kusalimu.