1 Inasema kama bana muke bana patha ku djipeleka bwabababwana yabo, ata kama abana kitu, ata kama abana mapendo kueno dju abopeke bata badilika kama bana ona tabiya yenu na heshima yenu. 2 Na iyi aita kwa kwa ku kuvala kwabo, likini kwa mapendo ya roho na heshima mbele ya Mungu. 3 Apa bana sema ivi, mwana muke mwenye ana zambi ata heshimiya bwanayake na kumwuita mufalmewake. 4 Gisi sahana ali heshimia Abrahame na kumwita mufalmewake, na mueye bana muke mufanya mambo mazuri na mu atshe mambo ya fudjo. 5 Apa bana sema kama vidjana wa biti bintina yatima bote benye abana bazazi mukuwe na huruma, na upendo savile ba ndungu benye kudishusha bapole, musirudishe mubaya kwa mibaya. 6 Musi tshambane mufanye mambo mazuri dju mupate baraka ya mungu. 7 Kama muenye ana penda aone baraka kumaisha na ma siku yake tshini ya djuwa iongezeeke atende mambo ma zuri na atupe mambo mabaya, atafute salama kwadju Mungu ana wona na kusikia maombi, na iko naona bote bale benye biko nafanya mambo mabaya. 8 Naniata bafanya kama nguvu djuya mizuri yenye munafania? 9 Mwuenye a na teseka ndani ya ukueli ata barikiwa; ma Musiogope maneno yenye abo bana ogopa, musikue na wasiwasi. 10 Musikuru na wasiwasi. Kisha mutiye bwana Yesu ndaniyenu kama roho mutakanfu, na kila siku mu kuwe tayari kujibiya kilamutu muenye atauliza. Dju ya nini mukonakitumaini kwa Mungu? 11 Mu ifanye ndani ya kimia na heshima. 12 Mu kuwe na uruma dju batu bafate maisha yenu ya muzuri dani ya Klisto. 13 Isiaribike kwa sababu muna ongozewa kwa kiroho dju ya kuba onesha kama mulikuwa ba tenda zambi. 14 Nimuzuri sana kama mungu ana kuwa na lazimadju ya kuteseka ya kufanya mambo ya kushinda mambo mabaya. 15 Klisto naye aliteseka mara moya kwa dju ya zambi yetu. 16 Ye ye djo mwenye kweli aliteseka sababu yetu , aseme hakukuwa musema ukweli. 17 Djo kusema akutu beba kwa mungu. 18 Klisto Alikuya kukimwili lakini alikwa muzima kwaki roho, kwaki roho, aliyenda ku hubiri roho yenye ina fungiwa. 19 Ilikwa ni ku ndiya ya kuvumiriya ya Kristo mpaka saa iyeneye, siku ya kudjenga mashuwa, na mungu ali ponesha batu nusu ye peke ndani ya mayi. 20 Hiyi nikuonesha kama ni kubatiziwa ya kuba ponesha, aiko kama kunawa mayi dju buchafu itoke dani ya mwili. 21 Lakimi nikusema kama maombi zamiri muzuri kwa mungu, kufatana naku fufuka kwa Yesu Klisto. 22 Yeye ndo mukono wa kianaume wa Mungu Aliyenda mbinguni wa malaika, mamulaka na nguvu lazima imutuze yeye.