1 Miye mutumishi wa Yesu Christo Petro, mina andikiya bageni bote, benye balisambalana, na batumishi bote ba migini mbalimbali, katika Ponto yote, Galatiya, kapadokiya, Aziya na migini ingine mbalimbali. 2 Kupitiya mawazo ya bwana mungu, na kwa kutakaswa na Roho mutakatifu, kufata na na eshima ya Yesu Christo, kwadamu yake ya beyi, Neema ya mungu, ikuwe, na salama yenu yongezeke zaidi. 3 BAba mungu wa bwana wetu Yesu Christo, abarikiwe kwa uruma wake mukubwa zaidi, alipenda kufufuka kwa bwana wetu Yesu Christo katika bafu. 4 Kwa kupyana bila kosa, akuta kuwa bubaya wala kupungu kiwa, mbinguni ili fanyiziwa juu yenu. 5 Kwanguvu ya mungu, ata mi chunga kufatana na imani ya okovu, ambayo iko pembeni ya kuona kwa wataki wa mwisho. 6 Mufurayi juu ya maneno iyi, na sasa ni lazima kwenu musiwe na uzuni, kwa sababu ya majaribu ya namuna yote. 7 Juu ya ku pima imani yenu, imaniya kweli inapita pesa na kama ukanguka una poteya baraka, na imani yenu aiwezi kuzala ma tunda, wala baraka siku Yesu Christo atarudiya. 8 Bado amuya ona Yesu, lakini muna mupenda, ata sasa hamumu one kwala kini muna mwamini, na muko na furaha sana yenye kuyala na utukufu. 9 Na sasa muta pata baraka kwa juu ya imani yenu, na kwa ku jipana kwenu. 10 atabiri, balipe,da kujuwa kabisa, kuokolewa uku kupitiya uruma yenu. 11 alipenda kujuwa tuta okolewa na muna gani; na wa kati gani roho wa mungu ilikuwa ikasema nabo kuusu matezo ya Yesu, na mamulaka gani ita mufwata Yesu, nyuma yayote. 12 Na ili oneshewa na batabiri kama bali kuwa na tumika kazi iyi sikwajili yabo tu! apana, ni kwa ajiloi ya batu bote, ata bale bote benye kuleta habari muzuri kwenu, ni kwa nguvu ya Roho mu takatiku wa mungu, aliyezu ngumuza tena na ba malaika. 13 Mukuwe na imani ya nguvu sana, mukuwe ba pole kwa mawazo yenu, na mukuye na akili muzuri kupiti ya uruma wa Yesu Christo, wakati wa ufufuko wake. 14 Kama batoto ba eshima, musi kamatiwe na tamaa, kama vile mulikuwa zamani bapagano, 15 kama vile Yesu nimutakatifu, na mweye mukuwe batakatifu kati na maisha yenu yote muzima. 16 Kama sababu ili andikwa, mukuwe watakatifu, sa vile miye niko mutakatifu. 17 Na wakati muta ombamungu, yeye atalipa kila mutu, kufatana na matendo yake, mutembeje maisha yenu muzuri na utakatifu. 18 Mujuwe kama aiko juu ya makuta, walakwa zahabu, bitu bi baya, ndjoo tuli okolewa ka tika Zambi? 19 Nikwajili ya damu ya bei, ya Yesu Christo mutoto wa ko,dolo mwenye ana bubaya wala kilema. 20 Yesu Christo, ali chaguliwa kuto keya mwango wa duniya kama nguzo ya duniya, la kimi sasa, kwa ma siku iyi ya mwisho, ana onesh wa kwenu, 21 Na muna mwamini mungu kupiti ya Yesu, uyu Mungu ali fufula toka bafu, na aka mupa uwezo kwasababu imani yenu ikuuze kwa mungu. 22 Mu fanye ma Rohayenu, ikuwe safi, kwa ku mu eshimiya Yesu, kwa sa babu ya upendo wake wa kweli, basi mupendane mweye bote, kwa moyo moya. 23 Muna isha zaliwa mara ya pili, si kwa mbeko ya kuoza, la kimi kwa mbeko muzima, kupitiya neno ya mungu ya uzima. 24 Kwasababu ma ungu yote ina fanana na mayani, na sifa yake yote iko kama mauwa ya ma yani, kama mayani ina kauka na ma huwa ina fubala. 25 Kwala kini, neno ya Mungu ita bakiya milele, iyi nihabari njema ya kweli ina tangaziwa kwenu.