1 Kuli bakia tu masiku mbili tufike siku ya kufuraia pasaka na juma ya kula tu mpaka mikate yagipo ku tia dawa yaku vimbisha mikate. Pale biongozi bya ba kutshoma matoleo na wale wenye kazi ya kwandika bitabu takatifu wali anza kutafuta namna yakumubamba Yesu na kumu. 2 Bali sumburia bana sematusi mubambe hii wakati ya furaha juu batu basitomboke na kuleta fudjo. 3 Hivi Yesu ali kuwa pale Bethania, ule ali lukulaka bukoma pale ali anza kula, mwanamuke moya akaingia, ana bamba ku mukono chupa yenye kuyala mafuta ya arufu ya nguvu sana, ya muzuri sana tena ya bei sana . Aka ivunja na anamu mwangiya yote Yesu pa kichwa. 4 Batu beinginebali uzunika. Baka anza kusema kati kati yao aseme: Juu ya nini kuabaribisha kitu ivin. 5 Mafuta ya ivi, baliweza ku i uzicha bei ya nguvu, ata elfu tatu ya feza ya dinari, na ile feza baweza kusaidia ba masikini. Baka anza kumu fokea. 6 Lakini Yesu akasema: « Mu mwache kimia . Juu ya nini muna mu uzinisha hivi. Ana nifanishia miye kitendo kizuri kupita. 7 Ba masikini, muko nabo kilasiku na wakati ote munapenda, munaweza, kuba fanishia bizuri, lakini miye, hamutakuya namiye masiku yote kati kati yenu. 8 Ye uyu anafanya ile yeye anaweza. Anapakala maungo yangu juu ya maziko. 9 Kweli mina miambia hivi: Kule kote bata ubiri habari njena katika dunia mzima, kile uyu mwanamuke anafanya betekikumbu kaka naku kisezea. 10 Pale ule Yuda wa mungini isikali moja katikabamitume na mbili, akaenda ku onana biongozi bya bale zana chomaka matoleo ya mungu juu ye alipenda abakaburie Yesu. 11 Pale biongozi bana sikiya vile, bakafurahi sana na kumulaka aseme bata mulipa. Kwanza pale, Yuda aka anza kuta futa njia yakubakabukiria Yesu. 12 Ile siku ya kwanza kula mikate ya sipo kutia dawa ya kuvimbisha, ile saa bana anzatu kuchoma batoto ba bakondolo juu banze kula yenye pasaka, banafunzi bake bakamu uliza, «Unapenda twende fasi kani tukakengeneze pale utakula Pasaka?» 13 Aka tuma banafunzi bake mbili, aka ba ambia: «Mwendetu ku mungini iko mbele, pale mutaona mwanaume anabeba mutungi ya mai, mumu fwate. 14 Pa ile nyumba ata ingia mu mufwame na museme namwenye nyumba aseme: mwalimu ana uliza aseme: Ni wapi ile Chumba kwenye mitakulia chakula ya pasaka pamoja na banafunzi bangu ? 15 Ata mionesha yulu ya nyumba, chumba ya munene baisha kupanga meza na biti na kila kitu pale. Pale, mu tengengenezee pale. 16 Bale banafunzi baka toka ba kaingia mu mugini. Baka kuta kila kitu vile vile alibaambiya na bakatengeneza chakula ya Pasaka pale. 17 Kumagaribi sana, Yesu akafika pale na banafunzi bake bote kumi na mbili. 18 Wakati wali anza kula Yesu akasema: «Kweli mina wa ambia, mumoya we nu ule tuko nakula naye apa atani kabula». 19 Bote baka uzunika, na moya moya baka anza kumu uliza «Haina miye eh?» 20 Yesu akasem: « Ni Moja wenu kati yenu batu kumi na mbili, ule eko na tanta mukate yake pamoja na miye mu kibakuli. 21 Juu , mwana wa mutu eko ana enda kutoza padunia vile ina andika juu yake ndani ya mandiko. Lakini ni laanakwa mutuule ata mukabula Mwana wa Mutu. Inge kuwa muzuri kwake kukosa kuzaliwa.» 22 Wakati beko na kula, Yesu akabeba mukate, aka ibariki, akaivunja. Aka wakaburia akisema: «Mupokee hii ni maungu yangu.» 23 Akabeba kopo, akashukuru na akabatia , na bote baikunwa. 24 Akasema: «Hii nidamu yangu ya upatanisho, ina mwandika juu ya batu mingi. 25 Kweli minaiambia hivi sita kunwa tena pamoja na mwenye hii matunda ya mizabu paka ile siku mitakunwa ya mupya mu ufalme wa Mungu. 26 Kisha kuimbia mwimbo moya pale, wakatoka mumugini na kxenda ku mulimaya ya kati miti ya mpafu. 27 Yesu akawambia ya : «Mwe bote mutanikimbia, juu ina andika : Mita pika muchungaji, naba kondoo batazambalana. 28 Kisha miye kufuka, mita watangilia pale Galilaya». 29 Petro akasema:«Ata bote banakimbia, miye siwezi ku kimbia» 30 Yesu aka mwamwambia :«Kwzli mina kwambia, bushiku hii tumbele ya jogokulia mara mbili, utanikana mara tatu.» 31 Lakini Petro akasema naye: «Ataita ni Pasha kufa pamoja naweye, siwezi kufanya kitu kya vile.» Nabote baka anza kulapa paka vile. 32 Toka pale, bakafika pafinashi banaita Gestesemane na Yesu akaambiya banafunzi bake:« Ikaleni apa wakati mta omba.» 33 Akabeba pamoja naye Petro , Yakobo na Yoana, Kisha akaingiya mu mawazo ya uzuni munene na roho yake ika anza kuhangaika . 34 Akawambiya « Roho yangu ina uzini katusana tubyakufwa. Mubakie apa mu keshe.» 35 Yesu akaenda mbele kiloko, aka anguka chini na aka anza kuomba aseme kama itawezekana, saa ile yende mbele mbari naye. 36 Akisema :«Wangu Baba bitubyote bina wenzikana kwako. Sukuma mbari mami poko hii. Lakini isikuye mapendo ya roho yangu Lakini yako.» 37 Anarudia akawakuta wanalala na akasema na Petro: «Simoni, unalala? Ha uwezi kukesha ata saa moya? 38 Kesha na ku omba juu usianguke pale uta jaribiwa . Roho ina yala na kutaka lakini maungu iko na buzaifu.» 39 Akaenda tena ku omba eko anaru dira masemo ile ile. 40 Akarudia tena ana bakuta bakulala, juu macho yabo ili kuwa buzito sana na ha bakujuwa atakya kusema na Yesu. 41 Akarudia kwabo mara tatu, Akasema nabo:«Munalala tu na muna endelea tu na kupumuzika. Ina tosha. Saa ina enea Mwana wa Mutu beko banamukabula ku mikono ya watenda zambi. 42 Simameni, twendeni. Muone, wakunikabula mwenyewe anafalika kazibu. 43 Pale alikuya angali kusema, Juda ye uyu, mumoja wa bale kumi na mbili, akafanika na kikundi kya watu mingi sana benye kuwa na mipanga, bengine miti vile bali batuma kuko bakubwua ba batumishi ya Mungu, nabale ba andika amri ya musa na wazee. 44 Ule alimukabula Yesu alipata bale alikya nabo kanuni moya, aseme: «tumitakumbatia na kumu salima kwa kinwa njo yeye. Mumu bambe muzuri na mutembeye naye benye kumuchuga muzuri. 45 Pale tu Yuda anafikia, akaenda mara moja kule kuko Yesu, nakusema:«Mwalimu.» na akapatia yambo kinya kwa kinwa. 46 Bakatia mikono yabo yulu yake na kumubamba. 47 Pale pale, mumoja wabo akatisha mupanga na akapika Mutumishi wa kiongozi wa bale Batumishi bakuchoma ma toleo mu nyumba ya Mungu na akatamuka lisikiyo. 48 Yesu akawambiya:«munaniku iya sawa kwamwiji, na mipanga na miti juu ya kunifunga ? 49 Wakati nilikuya kati Yenu, niko banafudisha masiku yote katika hekalu, hamu kunibambe. Lakini hii yote ilifikaka juu maandiko yenane. 50 Nabo bote balikuyaka pamoja na Yesu bakamukimbia na kumwacha. 51 Mutoto mwanaume alianza kumufwata, na aliwala bule nguo yakuf inika pakitanda. Bale bale batu banamubamba, akakimbia bundi tu, 52 aka acha nguo ile. 53 Wakaenda na Yesu kwa kule kiongozi wa batumishi bale bana chomaka matoleo muhekalu, njo kule bakubwa bote na batumishi baku meza ya nyumba ya Mungu walikusanika, na wazee wote, na wale wana andika sheria ya Mungu. 54 Petro alimufata nyuma kiloko naakangia ndani ya lupango ya ule mukubwa kub natumishi bote na aka ikala pamoja na bajamu kuota moto. 55 Ule kiongozi wa batumishi bakuma meza ya ndani ya nyumba ya Mungu, na kinkundi kyote kya bakubwa ba kakatafuta ma ushuda yakumuangusha nayo Yesu juu ya banaume. Lakini habkupata. 56 Juu bamingi balileta ushuda wa bongo juu yake, na yote haikwanze kupatana. 57 Mwengine walimama na kuleta ma ushuuda ya bongo juu yake bakasema: « 58 Tuli musikiya kusema : "Ntavunja hii hekalu yenge kujengwa na mikono ya watu na kisha siku tatu, mita jenga ingine pasipo mikono?» 59 Ata kwa ile yote, paka habakupatana tu. 60 Ule mukubwa wa bale banachomaka matoleo ndani ya nyumba ya Mungu akasimama katika yaona kumu uliza Yesu: «Hakuna jibu? Ni nini watu wote wana shu udia juu yako?» 61 Lakini yeye alibakia kimia bila kujibu. Mara tena, ule mukubwa wa banye bana chomaka matoleo ndani ya nyumba ya Mungu aka mu uliza na kusema : «Jee, weye njo Kristo, mutoto wa ule mubarikiwa?» 62 Yesu akajibu: «Njio ni miye na utaona Mwana wa Mutu, wakati ataikala ku mukono wa ku ume ya ile uweza na eko nashuka toka mbingu.» 63 Ule mkuwa akapasula ma nguwo nakusema:«hakuna tena faida na baku shuudia?» 64 Munejisikilia mwe benye matusi yake. Sasa muna bamba kanuni kani?» Nabote bakamambo yake aseme anstahili kufe. 65 Wengine waka anza kumutemea mate, bakamufunguwa kumacho, nakupika makofi na kumwambia:«Tabiri sasa.» Ba soda bakamubulula na kumu pika. 66 Hivi Petro aliwa tupale ndani ya lupango, mutoto mwanamuke moya mutu wa kazi munyumba ya ule kiongozi wa bale bana chomaka matoleo mu nyomba ya mungu akafika kwake. 67 Aka muona Petro vile alisimama karibu na moto juu ya kuota. Akamwaria muzuri kisha akasema naye: «Naweye ulikuya naye uyu waku Nazareti, Yesu.» 68 Lakini yeye aka kana, nakusema:« Si juwa sisikie unasema.» Kisha tena, akatoka inje ya mpango. Na jogo akalia. 69 Lakini ,pale, ule mutoto mwanamuke mutu wa kazi akamuona tena, aka anza ku onesha batu basimama pale aseme: « Uyu mutu ni mumoja wabo.» 70 Lakini akakana tena. Kisha saa, wala walishimama pale wakasema na Petro:«Kweli tu uko mumoja wabo, juu na weye uko mutu wa Galilaya.» 71 Sasa pale, akaanza kujitakia malaana nakulapa:«Simuyume ule mutu ule munasemea.» Pale, 72 Jogo akalia mara pili. Na Petro akakumbuka ilemaneno Yesu ali mwambia kaseme: «Mbele ya jogo aliye mara mbili, utanikana mara tatu.»Akaliya na machozi mingi sana.